Albosignathus
JF-Expert Member
- Apr 26, 2013
- 4,886
- 1,038
- Thread starter
- #41
Hahahaha, unasubiri nini, au mpaka watu wamalize kuchangia hii thread?
Anza wewe kisha uniambie umeona nini huko ndipo na mimi nitakuja.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha, unasubiri nini, au mpaka watu wamalize kuchangia hii thread?
ulimbukeni huu!
Anza wewe kisha uniambie umeona nini huko ndipo na mimi nitakuja.
hahahahahahah jamani humu kuna watu wananipa rahaaaaaaaaa
Wana mmu.Nimepokea message kutoka kwa mpenzi wangu eti "mdomo wangu unanuka kama bomba la choo cha Feri ila eti hawezi kuniacha kwasababu anapenda jembe langu.Hapa nilipo nalia machozi,nimeshindwa kufanyakazi natamani nijinyonge! Nijinyonge au Niache kwa maana hilo tusi ni zito mno?? haaaa! heeee! hadi jembe langu limenuna!
nachukia sana mijitu inayonuka mdomo ni kero
pokea tusi lifuatalo kwa kunuka mdomo
Kakukosea sana maana lugha iliyotumika kukufikishia ujumbe siyo nzuri japo kukupa taarifa ni jambo jema. Alipaswa kusema mdomo badala ya domo. lakini pia hata kama harufu ya mdomo wako ni mbaya hakupaswa kuifananisha na choo. kukupa taarifa is a right thing ili ujirekebishe au umuone dakitari but lugha yake inaonekana uliko muokota kunafanana na lugha aliyoitumia!
Kwani mi nimesema nataka kujiua?
Wana mmu.Nimepokea message kutoka kwa mpenzi wangu eti "mdomo wangu unanuka kama bomba la choo cha Feri ila eti hawezi kuniacha kwasababu anapenda jembe langu.Hapa nilipo nalia machozi,nimeshindwa kufanyakazi natamani nijinyonge! Nijinyonge au Niache kwa maana hilo tusi ni zito mno?? haaaa! heeee! hadi jembe langu limenuna!
Akishapokea amalizie na kujinyonga.nachukia sana mijitu inayonuka mdomo ni kero
pokea tusi lifuatalo kwa kunuka mdomo
..tena nakwambia wa hivi wanapata comments nyingi ajabu, wakati wanaandika vitu visivyo na kichwa wala miguu, aibu sana!!!pata raha zaidi humu...from the same author and producer..
[h=3]Natafuta mke-mrejesho[/h] [h=3]Nahitaji maombi yenu wanaJF[/h] [h=3]Nahitaji mkanda wa wanawake waliozaa.[/h] [h=3]Gout inanifanya nishindwe kugegeda,sitaki hospital[/h] [h=3]Nanunua maden[/h] [h=3]Niko Honey Moon ila kichwa kinagonga sana.[/h] [h=3]Nimemaliza Honeymoon safi![/h] [h=3]Ndoa ina mwezi,leo hii imevunjika[/h] [h=3]Nimepiga mbili kwenye ndoto leo[/h] [h=3]Nimeota niko mbinguni[/h]
Raha mpaka wapi wakati wenzako tunalia heee! heee! nitajinyonga baadae!
Jinyonge ndio utakuwa umetatua tatizo.
Wewe huli vizuri ndio maana mdomo wako haunuki.
..tena nakwambia wa hivi wanapata comments nyingi ajabu, wakati wanaandika vitu visivyo na kichwa wala miguu, aibu sana!!!