Eti mdomo wangu unanuka kama bomba la choo

Eti mdomo wangu unanuka kama bomba la choo

Kakukosea sana maana lugha iliyotumika kukufikishia ujumbe siyo nzuri japo kukupa taarifa ni jambo jema. Alipaswa kusema mdomo badala ya domo. lakini pia hata kama harufu ya mdomo wako ni mbaya hakupaswa kuifananisha na choo. kukupa taarifa is a right thing ili ujirekebishe au umuone dakitari but lugha yake inaonekana uliko muokota kunafanana na lugha aliyoitumia!
 
Wana mmu.Nimepokea message kutoka kwa mpenzi wangu eti "mdomo wangu unanuka kama bomba la choo cha Feri ila eti hawezi kuniacha kwasababu anapenda jembe langu.Hapa nilipo nalia machozi,nimeshindwa kufanyakazi natamani nijinyonge! Nijinyonge au Niache kwa maana hilo tusi ni zito mno?? haaaa! heeee! hadi jembe langu limenuna!

nachukia sana mijitu inayonuka mdomo ni kero
pokea tusi lifuatalo kwa kunuka mdomo
 
Kakukosea sana maana lugha iliyotumika kukufikishia ujumbe siyo nzuri japo kukupa taarifa ni jambo jema. Alipaswa kusema mdomo badala ya domo. lakini pia hata kama harufu ya mdomo wako ni mbaya hakupaswa kuifananisha na choo. kukupa taarifa is a right thing ili ujirekebishe au umuone dakitari but lugha yake inaonekana uliko muokota kunafanana na lugha aliyoitumia!

Mkuu lazima nimpige talaka 21.
 
Wana mmu.Nimepokea message kutoka kwa mpenzi wangu eti "mdomo wangu unanuka kama bomba la choo cha Feri ila eti hawezi kuniacha kwasababu anapenda jembe langu.Hapa nilipo nalia machozi,nimeshindwa kufanyakazi natamani nijinyonge! Nijinyonge au Niache kwa maana hilo tusi ni zito mno?? haaaa! heeee! hadi jembe langu limenuna!

Jinyonge ndio utakuwa umetatua tatizo.
 
..tena nakwambia wa hivi wanapata comments nyingi ajabu, wakati wanaandika vitu visivyo na kichwa wala miguu, aibu sana!!!
 
hahahaha usijinyonge bwanaaaaa tumia basi Listerine itakusaidia na pia jaribu kwenda kwa dentist akusadie zaidi kujua shida ni nini...pole sana aisee hahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Raha mpaka wapi wakati wenzako tunalia heee! heee! nitajinyonga baadae!
 
Ptuuuu...ndo maana nasikia harufu mbaya,unatema mkuu
 
..tena nakwambia wa hivi wanapata comments nyingi ajabu, wakati wanaandika vitu visivyo na kichwa wala miguu, aibu sana!!!

Kama wewe huna kichwa wala miguu hiyo aibu utaionaje?? au kwa TOCHI KUBWA YA NYUMA?? ha! ha!
 
Back
Top Bottom