Eti Mhadhiri anatoka Dar anakuja kufundisha Dodoma ina maana kuna uhaba sana wa vijana kuziba hizo nafasi?

Eti Mhadhiri anatoka Dar anakuja kufundisha Dodoma ina maana kuna uhaba sana wa vijana kuziba hizo nafasi?

Una hoja za msingi ila uandishi wako sasa.

Shida ni kwamba walimu wa vyuo vikuu wamepewa mamlaka makubwa sana hvyo wanaamua kutumia vibaya vyeo vyao.
Tumeshindwa kutenganisha SIASA,SHERIA NA KAZI. unakuta hao wahadhiri ni wanachama wa chama cha siasa na wanachagulia na hao hao wanasiasa kwenye hivyo vyuo. Chukulia mfano sasa hivi wewe ni mhadhiri alaf upo chama dola , nani wakukusumbua ?
 
Binafsi nilitishiwa eti nitafeli olevo kisa mwandiko. Nikashangaa Yale Yale ya arts nikachomoka na Ma B ya kufanya MTU huku sayansi ndo kulichafuka AA mpaka nikashindwa kuzihesabu.
MIE nawachora wakosoaji Wa uandishi kama umesoma arts sio wote ama wewe ni journalist sio lazima niwe kama wewe. Ama are you editor director of a magazine?
Jikite kwenye lengo naweza nisiandike njia ambayo ni formal itakayokubalika kimataifa. Fanya MIE ni MTT najifunza kutembea.
Naoomba uchangie maada kwa kuangalia logic ama mantiki na sio uandishi wangu
''kweli umewajibu vizuri '' kama ni sindano basi dawa imewaingia
 
Back
Top Bottom