Sijui kama unajua MATOKEO YA KUTOKAGULIWA ukiwa field? Ni mabaya zaidi kuliko vidonda vya tumbo vya kupiga deshi kwa miezi 2. Ok., sema nyinyi mnaweza kuelewa., je hawa masupervisor wa huku kazini nao wataelewa.. Bila kusainiwa report sijui huko chuo utamkabidhi nani hayo makaratasi..?Usijali kama una tatizo utamweleza mkaguzi wako atakuelewa. Ssis ni binadamu tunaelewa mazingira mliyonayo kwa sasa. Sasa wewe km unajua hujaweza kufanya field yako vizuri kwa sababu ya matatizo ya allowance kwa nini ukubali ukaguliwe! Mweleze mwalimu wako ukweli ili atakapokufanyia assessment alizingatie hilo. Halafu usiwe mbinafsi mdogo wangu, mdahalo pia ni jambo la muhimu kwa taifa ingawa ulivurugwa na watu wachache wenye malengo yao
Eti wanadai wanarekebisha mishahara ya zamani ili kuweza kulipa mishahara mipya. Sawali ni je hawakujua siku zote kwamba wanalipa mishahara mipya? Kinachoonekana ni kwamba serikali haina pesa. wanasubiri TRA wapeleke makusanyo. wanasingia kubadili mishahara ya zamani.
hapo kwenye red nimejikuta nachekaSawa, kuhusu Chachage naomba nisiongee mengi sina habari za kutosha..Naomba niongee juu ya kilichoiua UDASA. UDASA iliuliwa na Mkandala kupitia REDET... Udasa ilikuwa inategemea watu radical wa social science..Mkandala akawadaka na kuwanyenyekeza wato kupitia posho nono aliyokuwa akiwalipa kwenda kukusanya maoni au kufundisha chuo cha demokrasia zanzibar.. Kila mtu akawa hataoi maoni huru iliaweze kufaidi vya redet, hatimaye wote wamegeuka kuwa makada wa ccm, mzee bunsen burner akiwa mfano wao.
Kikwete janga la taifa
Ni tarehe 38/7/2014 leo watumishi wa mashirika ya Umma hawajalipwa mshahara wa mwezi July!! Hali hii imepelekea watumishi kuishi katika hali taabani. Hili ni tatizo kubwa kwa serikali ya CCM kwani inaonyesha ni kwa jinsi gani imefilisika rasmi. Wapinzani hii nchi ni yenu kwani CCM wameonyesha kushindwa katika kila sekta.
Hii tarehe imekaa kibavicha bavicha!
Kwa comment yako..inaelekea ulikula sup za kutosha chuoMsilipwe had ufike tar 50
Ni tarehe 38/7/2014 leo watumishi wa mashirika ya Umma hawajalipwa mshahara wa mwezi July!! Hali hii imepelekea watumishi kuishi katika hali taabani. Hili ni tatizo kubwa kwa serikali ya CCM kwani inaonyesha ni kwa jinsi gani imefilisika rasmi. Wapinzani hii nchi ni yenu kwani CCM wameonyesha kushindwa katika kila sekta.
Sio kweli ,mbona toka tarehe 24 watu tumechukua vyetu