Dj mat
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 747
- 475
Ndo maana juzi nimeona gari la halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni likipita kutangazia watu ambao bdo hawajalipia leseni zao za biashara wafanye hivyo mapema kabla ya msako mkali utakaopita hv karibuni;kumbe wanatafuta pesa za kulipa watu mishahara????my left foot!