Eti mpaka leo tarehe 37 serikali haijalipa mishahara taasisi zake nyingi mfano. vyuo vikuu!

Wakuu naomba kujua mambo ya msingi yakuzingatia kwa mujibu wa JMT na TCU ili uweze kuanzisha chuo kikuu

naomba mnielekeze km prospectus, curriculum, &student by law vinaweza kuwa ni lazima uwe navyo kabla yakuanzisha chuo kikuu?

NOTE: Mkinipa vivid example na reference nitafurahi wakuu wangu.

Natanguliza shukrani za dhati.
 
Wakuu naomba kujua mambo ya msingi yakuzingatia kwa mujibu wa JMT na TCU ili uweze kuanzisha chuo kikuu

naomba mnielekeze km prospectus, curriculum, &student by law vinaweza kuwa ni lazima uwe navyo kabla yakuanzisha chuo kikuu?

NOTE: Mkinipa vivid example na reference nitafurahi wakuu wangu.

Natanguliza shukrani za dhati.
 
Wakuu naomba kujua mambo ya msingi yakuzingatia kwa mujibu wa JMT na TCU ili uweze kuanzisha chuo kikuu

naomba mnielekeze km prospectus, curriculum, &student by law vinaweza kuwa ni lazima uwe navyo kabla yakuanzisha chuo kikuu?

NOTE: Mkinipa vivid example na reference nitafurahi wakuu wangu.

Natanguliza shukrani za dhati.
 
tarehe 37 duuuuuh hii kali kuliko..ila msijali hadi kufika tarehe 40 mshahara utakua umeshalipwa
 
Nlikuwa kipanga kuliko wewe
Umenikumbusha stori za wazee... kila mzee anahadithia watoto wake kuwa alikuwa anakuwa wa kwanza darasani, sijui madarasa yao hakukuwa na wamwisho?
 
Tumekusikia, tumekuelewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…