Mwana Mtoka Pabaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 15,118
- 16,485
Hata hilo jina lako, linaakisi ulikotoka
Sitegemei uwe na hoja ya maana zaidi ya hizi ulizoandika hapaHahahaha.......kweli wewe kichwa maji. Tupatie basi mradi mmoja. Uchumi wa viwanda
Kwa hakika utajiongezea maarifa na ufahamu.Kwa maelezo haya unanifanya niendelee kuipenda na niendeleee kuiangalia
Nina mashaka na jinsia yakome/ke
Nakukarisha kwa mazungumzo zaidiNina mashaka na jinsia yako
Unataman uwe demiss na wewe lakin tayar umetunukiwa dushee fywaaala wewe unajifanya mwema kumbe shuzii tupuuuNaona dawa imekuingia mpaka kwenye mfupa! Wewe ni kituko cha jf.
nitarudiUnataman uwe demiss na wewe lakin tayar umetunukiwa dushee fywaaala wewe unajifanya mwema kumbe shuzii tupuuu
Rudi tu ndugu nimechefukwanitarudi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mtoto Wa kiume unakaa kitako kucheki huu upuuzi. Unatafuta Bwana?? Utaolewa boya ww Changamkaaaa. Unashindwa kucheki Hata Prison Break unacheki huu Uchuro???
Utaolewa Na Ndevu zako
We ndo kichwa Maji zaidi ya wote *****Hahahaha.......kweli wewe kichwa maji. Tupatie basi mradi mmoja. Uchumi wa viwanda
OK, tikitWe ndo kichwa Maji zaidi ya wote *****
Hide my IDHahahahah nampenda pashaa kama nimtunuku kitumbua handsome yuleee
[emoji2][emoji23][emoji23][emoji23]Hide my ID
hahahaaMtoto Wa kiume unakaa kitako kucheki huu upuuzi ili iweje?? Yaani unashindwa kucheki hata Prison Break unacheki huu Uchuro???
prison break ni series ya kijasusi" na ndiyo series iliyochochea zaidi ' " watu " kuwafanya wapende kutazama series " ....yaani inshort usiifananishe prison break na vitu vya kijinga"sijui kuhusu sultan.ila prisonbreak ni motoo.
hahahaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nusu nusu
acha hizo mambo aisee " sultan waachie kina mamaHapo ndio utaamini kuna watu wanaakili za kushikiwa.kwahiyo wewe kuangalia mashoga wamecheza picha ya kijeshi ndio unajiona mwanaume kamili,na yule anaeangalia simulizi za mpenzi ya jinsia mbili ndio sio mwanaume kamili?alafu ulivyo kinda unakiponda kitu ambacho wewe unaonekana unakifuatilia
hahaaaNipandishe basi hata Afrika