Eti nguo ya ndani nayo ina nje na ndani

Eti nguo ya ndani nayo ina nje na ndani

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
Ikiwa na nyuma na mbele ni sahihi kabisa! Lakini sio ndani na nje
Atakayeona ni nani Kama umegeuza? Kama ni mchumba wala Hana huo muda maana wakati huo wala akili yake haiwazi hayo.. ndio maana hata ilivuliwa hutupwa chini 😂

Au labda tuseme ni daktari wakati wa kukuchoma sindano! Hapo inategemea na jinsia lakini kila jinsia itaangalia macho yatakayo kuona

Walau kidogo zamani unafunua ya nguo ya ndani ili uone nyashi.. au papa.. Siku hizi unafunua nyashi au papa ili uone nguo ya ndani 😌
Ndio maana siku hizi wameamua kabisa wasivae…😂
IMG_0191.jpeg
 
Ila hizo kamba😅😅😅wanawake watu majasiri sana, tako limevaa kamba, unalifunua ili uone chupi, yaani chupi imefichwa na tako, haionekane hadi ulipige tako upande 😅😅

Hii ya nje ndani imenichekesha, nani anaona hii imevaliwa nje ndani wakati hata mchumba hana mda kukagua😅😅
 
Ila hizo kamba😅😅😅wanawake watu majasiri sana, tako limevaa kamba, unalifunua ili uone chupi, yaani chupi imefichwa na tako, haionekane hadi ulipige tako upande 😅😅

Hii ya nje ndani imenichekesha, nani anaona hii imevaliwa nje ndani wakati hata mchumba hana mda kukagua😅😅
Hivi kwanini hizi nguo haziheshimiwi wakati wa tendo
Kasie
 
Back
Top Bottom