Hivi kwanini hizi nguo haziheshimiwi wakati wa tendoIla hizo kamba😅😅😅wanawake watu majasiri sana, tako limevaa kamba, unalifunua ili uone chupi, yaani chupi imefichwa na tako, haionekane hadi ulipige tako upande 😅😅
Hii ya nje ndani imenichekesha, nani anaona hii imevaliwa nje ndani wakati hata mchumba hana mda kukagua😅😅
Wanawake sioNdio mana siku hizi wengine hawavai kabisa
Mbona kamba pia unazoKwa hizi kaptula nazovaa mimi zina ndani na nje, ngoja waje wavaa kamba izo
Nawasilisha
Tena yenye zipuZina na mifuko kabisa 😁
Sijawahi miliki zinafyata mda wote kwenye mfereji sjazoea mimMbona kamba pia unazo
🤣🤣🤣ikamate kanyama bembea kale aseeeeeUsiombe hiyo zipu ikufinye wakati uko kwenye harakati za kuvua ili uanze mechi😂😭😭😭
Sjui hakika sijawahi vaa kabisaHivi hazitekenyi kweli😁
Hii ID huwa inanichekesha sana😅😅😅mfereji gani tena!Sijawahi miliki zinafyata mda wote kwenye mfereji sjazoea mim