hassandady
JF-Expert Member
- Aug 22, 2015
- 201
- 76
Kulia - kucheka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si ujinga dada yangu,ni uzalendo uliopitiliza,kwanini?kwasababu nilipenda id hii lakini bahati mbaya nikakuta iko occupied,kwa mapenzi niliyonayo,na ili nisipoteze maana nikaamua kuongeza n' na ndio ikasomeka 'tanzannia'bila kuopoteza maana niliyoikusudia,i hope you have well understood me.
Si ujinga dada yangu,ni uzalendo uliopitiliza,kwanini?kwasababu nilipenda id hii lakini bahati mbaya nikakuta iko occupied,kwa mapenzi niliyonayo,na ili nisipoteze maana nikaamua kuongeza n' na ndio ikasomeka 'tanzannia'bila kuopoteza maana niliyoikusudia,i hope you have well understood me.
haya asante kwa ushauri wako mzuri,umeamka salama lakini?,Sasa huo ni uzalendo au uharibifu? Unabadili jina zuri la nchi yako alilokutungia Muhindi wa Tanga halafu unajiita mzalendo?
Kwanini usiweke jina sahihi Tanzania halafu ukamalizia kwa neno la pili la kibwagizo cha uzalendo wako?
Kwa mtindo huo, tuna safari ndefu sana ya kwenda.
Haipendezi kabisa kuona jina la nchi ninayoipenda linabadilishwa kwa ujinga tu.
Tafadhali rekebisha huo si uzalendo ni ujinga.