Eti ni kweli kwamba wahitimu wa UDSM ndo wanaharibu hii nchi

Eti ni kweli kwamba wahitimu wa UDSM ndo wanaharibu hii nchi

uliyeleta mada bado mtoto mdogo. hujui hata hivyo vyuo vya kata vimeanzishwa lini. ss ulitegemea wangesoma wapi? kama hujafanya utafiti huna haki ya kuongea. tafakari.
 
acha kusingizia Udsm home of intellectuals matatizo ya nchi yanaletwa na sisi Watanzania wenyewe hawataki mabadiliko wamekumbatia ujima hafu tatizo lingine kuua Arusha declaration miiko ya kitaifa kwa watu na viongozi kutokuwa na uzalendo wa kweli hlo ni tatizo kwa Tanzania almost nzima kukosa visionary leader na strong institutions ndo tatizo hapa ni kubadilika kwa kupunguza gap kati ya wenye nacho na wasio nacho kusema Udsm sizani kama ni correct sana

msomi kutoka "home of intellectuals" ata sema sizani badala ya sidhani, hiki chuo ndio chuo mama kwa hapa Tanzania kama hawaoni kuwa kinazalisha watendaji mabomu japo sio wote basi inchi imeingiliwa na vichaa
 
Hata matatizo yako ya kushindwa kuandika yametokana na UDSM maana walimu wako wanaokufundisha huko uliko wametoka UDSM. Better remain silent and be considered a fool than speak and remove all doubt. Sikujua kama kuna graduate anaweza kuwa mbumbumbu kiasi hiki.

vijana alws munatakiw mujifunz kujenga na kuteta hoja , jibu hoja siyo mipasho
 
uliyeleta mada bado mtoto mdogo. hujui hata hivyo vyuo vya kata vimeanzishwa lini. ss ulitegemea wangesoma wapi? kama hujafanya utafiti huna haki ya kuongea. tafakari.

na walipleta vyuo vya kata ni hao watunga sera ambao n GRADUATE WA UDSM , siyo vyuo vya kata mpaka sera ya kilimo kwanza na sas ni Big Results Now , hiv unatak mtu aseme nn mpaka uelew ?....waliopanga na kupangua madaraj ya ufaulu kwa kidat cha 4 na 6 walitokea UDSM au unabisha hujui MULUGO na KAWAMBW wamemaliz wap
 
Elimu yako bado haijakusaidia, umeandika kama mtoto wa darasa la saba bila kufanya critical analysis. Kwa kukusaidia tu, jiulize sekondari za kata zilianza lini, nini kilisababisha kuzuka kwa vyuo vya kata(najua utakasirika kuviita hivyo) lakini vingine vina branches mpaka kwenye mabaaa/ hotel. Unategemea kabisa kwa muda tangu vianze vimeshatoa watumishi wa umma waliofikia rank za kuendesha taifa? Pamoja na hayo, kwenye udahili wa vyuo vikuu wanaanza kujaza vichwa vyote pale kwenye hill halafu waliobaki mnatupiwa sendekarawe so obvious pale zimejaa mashine. Usisikitike sana maana dunia nzima utaratibu ni huo huo mashine zina vyuo vyao. Hivi vyuo vingine tuendelee kusindikiza maana hata mwajiri akiona una cheti chuo hata hajawahi kukisikia eti SEKUKOanajiuliza kiko tanzania kweli hiki? Kwa hiyo wapo sana na kwa huu utaratibu wa vyuo vya binafsi wa undergraduate kufundisha undergratuate wenzie wataendelea kufaidi matunda ya nchi. Lakini si lazima kuwa muajiriwa hata biashara inalipa tu.


mmh kweli lakin , maana hata waliotunga sera mbov za kuanzisha mishule ming ya kata pasi kujua uhalisia wa mahitaj ya kimiundombin ya hizo shule na vyuo nao ni Graduates wa UDSM wanaendelea kutuharibia vijana , ni kweli lakin vichwa vyote Tanzania hapa huend UDSM kuharibiw maana output yao ni kama hii ya wenzao waliotangulia , na wote tukifany biashara huduma za jamii atatoa nan , ur selfish ee , siye wa TEOFIR KISANJARI hata kweny KIGODA CHA MWALIMU hatuonekan
 
uliyeleta mada bado mtoto mdogo. hujui hata hivyo vyuo vya kata vimeanzishwa lini. ss ulitegemea wangesoma wapi? kama hujafanya utafiti huna haki ya kuongea. tafakari.


mmh we nawe una mataiz , mtu kajitahid kufikiri mpaka hapo bado unamponda , huyo siy mtoto sema kagusa maslah ya watu , kama operation tokomeaz
 
Tatizo la tanzania wasomi tulio nao wamejaa uoga na umimi. Eti maamuzi yanafanywa na wanasiasa yanatekelezwa na nani? Nani anawashauri hao wanasiasa? Ukishauri ushauri wako ukatupwa kapuni kama mtaalamu unafanya nini? Tuache visingizio wasomi nao wana mchango wao wa kutosha tu kwenye kukwamisha maendeleo ya hii nchi. Hivi unadhani mwanasiasa wa darasa la saba akikuambia kitu kisicho sawa wewe na degree yako ukafyata mkia nani wa kulaumiwa? Nimeyaona sana haya kwenye halmashauri za wilaya madiwani na std 7 zao wananyoosha wataalamu balaaaa. Muwe confident nyie wasomi wetu hakina mtu atachukua elimu yako huko kichwani na kama uko vizuri hata ukiacha kazi kwa kugoma kufanya nje ya proffession utapata kazi ingine tu. Tubadilike tujenge taifa badala ya kujijenga binafsi.

mmh we nawe unaona mbali kweli , yaan wew ni kichwa , na wasomi wasio na confidence na ndo wapo maofisi na weng wao wanatoka palepale
 
kila la heri kijana, kwa heri. Naamini huwakilishi wahitimu wote wa TEKU na SEKUCO


haaaa mwanajamv heb tupe mchango wako bhana tunakutegemea kulinusur Taifa bhana usituache wenyew bhana
 
msomi kutoka "home of intellectuals" ata sema sizani badala ya sidhani, hiki chuo ndio chuo mama kwa hapa Tanzania kama hawaoni kuwa kinazalisha watendaji mabomu japo sio wote basi inchi imeingiliwa na vichaa

kwa hiyo umeona (sizani) ndo cha muhimu badala ya kuchangia huoni hiyo ni mistake ndogo hicho ni chuo cha taifa na ndio maana kipo kwenye rank ya universities vya dunia kwanza chuo kinazalisha many profesional kusema kinazalisha watu bomu umejiingiza chaka ingekuwa hivo kisingekuwepo tatizo tulilo nalo ni mifumo mibovu iliyopo na wala sio chuo tatizo kuanzia mwananchi wa kawaida mpaka wa juu ni tatizo
 
kuna jamaa walikuwa wana argue kwamba hii nchi na matatizo yake yote imetokana na Chuo kikongwe cha udsm kuzalisha wahitim wasio na viwango , kwa mfano

1. Watendaji wengi wa nyazifa za juu serikalin wamepitia UDSM
2. Wanasheria wanaolitia Taifa hasaran kila uchao kwa kuingia mkenge kwenye mikataba mibovu wamehiti UDSM kitivo cha sheria.
3. Asilimia 80% ya wabunge wa katiba wamepitia UDSM
4.Wakandalasi wanaojenga majengo chin ya viwango na kuua watu wametokea UDSM
5.Wanaofanya biashara ya meno ya tembo wengi wao wametoka UDSM
6.Watuhumiwa wa EPA na ufisad mwingine wamegraduate UDSM
7.Mtandao wa wauza unga wengi wamegraduate UDSM
8.Mawaziri waliojiuzur kwa utendaj mbovu wametoka UDSM
9.Rais wa nchi hii ametokea UDSM
10.Wakurugenz walioua mashirika ya UMMA wametokea UDSM
11.Watoa vibari wote wametokea UDSM
12.Sera ya gesi na ugawaj wa vitaru unaratibiw na wahitim wa UDSM


Mh kama ndo ivyo , wa UDSM munafaid nchi wajamen , siye wa SEKUKO na TEOFIRIKISANJARI imekula kwet mazima aisee

Majaa wakamention midata kibao me nkabak mdomo wazi , nkasema ngoja nkwasilish kwa wenzang niskie michango yao , eti hivi hoja zao zina mashiko au ? na nini kifanyike sas...me niefanya kama WARIOBA wa tume ya katiba , ndo nshawasilisha Rasimu hivyo , haya kak mkuu njo na ww uiponde..

Shukuru hata hizo sera mbovu walizotoa udsm kuanzishwa vyuo vya kata ambapo kimojawapo umefanikiwa kusoma la sivyo usingejua hata chuo kikoje. Big up udsm
 
shukuru hata hizo sera mbovu walizotoa udsm kuanzishwa vyuo vya kata ambapo kimojawapo umefanikiwa kusoma la sivyo usingejua hata chuo kikoje. Big up udsm

mmh kweli lakin , hat kam ni chungu twameza hivy hivy
 
kwa hiyo umeona (sizani) ndo cha muhimu badala ya kuchangia huoni hiyo ni mistake ndogo hicho ni chuo cha taifa na ndio maana kipo kwenye rank ya universities vya dunia kwanza chuo kinazalisha many profesional kusema kinazalisha watu bomu umejiingiza chaka ingekuwa hivo kisingekuwepo tatizo tulilo nalo ni mifumo mibovu iliyopo na wala sio chuo tatizo kuanzia mwananchi wa kawaida mpaka wa juu ni tatizo

mmh me rank za kimataif wanatumia metrics gan kupima ubora wa chuo husika ? nahis hata hii hoja haijajikita kwenye kujua rank ya chuo katika level ya kimataif , imejikita kuangalia madudu yanayofanywa na wahitimu wa UDSM na mchango wa madudu hayo katika mustakabali wa Taifa ....inamaana kwa kuangalia madudu ya wahitim katika nchi zao kama METRICS ndipo tunapowez kulinganisha na wahitimu wa vyuo kama vile MAKERE , JOMO KENYATA , MWAIDUGULI UNV , STATE UNIV OF BOTSWANA etc na hapo ndipo tungewez kujua nafas ya UDSM meen , ila kwa kutoa wahitimu vipanga haaa UDSM inatisha bhana.....
 
Back
Top Bottom