kuna jamaa walikuwa wana argue kwamba hii nchi na matatizo yake yote imetokana na Chuo kikongwe cha udsm kuzalisha wahitim wasio na viwango , kwa mfano
1. Watendaji wengi wa nyazifa za juu serikalin wamepitia UDSM
2. Wanasheria wanaolitia Taifa hasaran kila uchao kwa kuingia mkenge kwenye mikataba mibovu wamehiti UDSM kitivo cha sheria.
3. Asilimia 80% ya wabunge wa katiba wamepitia UDSM
4.Wakandalasi wanaojenga majengo chin ya viwango na kuua watu wametokea UDSM
5.Wanaofanya biashara ya meno ya tembo wengi wao wametoka UDSM
6.Watuhumiwa wa EPA na ufisad mwingine wamegraduate UDSM
7.Mtandao wa wauza unga wengi wamegraduate UDSM
8.Mawaziri waliojiuzur kwa utendaj mbovu wametoka UDSM
9.Rais wa nchi hii ametokea UDSM
10.Wakurugenz walioua mashirika ya UMMA wametokea UDSM
11.Watoa vibari wote wametokea UDSM
12.Sera ya gesi na ugawaj wa vitaru unaratibiw na wahitim wa UDSM
Mh kama ndo ivyo , wa UDSM munafaid nchi wajamen , siye wa SEKUKO na TEOFIRIKISANJARI imekula kwet mazima aisee
Majaa wakamention midata kibao me nkabak mdomo wazi , nkasema ngoja nkwasilish kwa wenzang niskie michango yao , eti hivi hoja zao zina mashiko au ? na nini kifanyike sas...me niefanya kama WARIOBA wa tume ya katiba , ndo nshawasilisha Rasimu hivyo , haya kak mkuu njo na ww uiponde..
1. Watendaji wengi wa nyazifa za juu serikalin wamepitia UDSM
2. Wanasheria wanaolitia Taifa hasaran kila uchao kwa kuingia mkenge kwenye mikataba mibovu wamehiti UDSM kitivo cha sheria.
3. Asilimia 80% ya wabunge wa katiba wamepitia UDSM
4.Wakandalasi wanaojenga majengo chin ya viwango na kuua watu wametokea UDSM
5.Wanaofanya biashara ya meno ya tembo wengi wao wametoka UDSM
6.Watuhumiwa wa EPA na ufisad mwingine wamegraduate UDSM
7.Mtandao wa wauza unga wengi wamegraduate UDSM
8.Mawaziri waliojiuzur kwa utendaj mbovu wametoka UDSM
9.Rais wa nchi hii ametokea UDSM
10.Wakurugenz walioua mashirika ya UMMA wametokea UDSM
11.Watoa vibari wote wametokea UDSM
12.Sera ya gesi na ugawaj wa vitaru unaratibiw na wahitim wa UDSM
Mh kama ndo ivyo , wa UDSM munafaid nchi wajamen , siye wa SEKUKO na TEOFIRIKISANJARI imekula kwet mazima aisee
Majaa wakamention midata kibao me nkabak mdomo wazi , nkasema ngoja nkwasilish kwa wenzang niskie michango yao , eti hivi hoja zao zina mashiko au ? na nini kifanyike sas...me niefanya kama WARIOBA wa tume ya katiba , ndo nshawasilisha Rasimu hivyo , haya kak mkuu njo na ww uiponde..