Eti ni kweli wanaume wa Jf hamna pesa?

Tena sio kwamba hawana pesa tu mmmmmmh sjui pia kuitwako 7kwa7 hawajui hata[emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Khaaaa! Ipo hivi..usipojiamini huaminiki.....so jifunze kujiamini binti!...halafu usifananishe hadhi za watu!!!...Panda hata VX ntalipa
Haya tupia google map nafika chaap. Upanga sehemu gani kwanza? Naita uber XL kabisa. Kutokea bunju itakua kama 30k tuu
 
Sasa Upanga kubwa niko njiani ivoo
Ukija tofauti na Huyo hapo kwa Avatar nakunanii kama kama! Kwanini uwe muongo bwana!.....oky ni Hivi, pitia njia yoyote hadi ufike Maeneo ya Kisutu then nishtue PM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…