Eti ni kweli wanaume wa Jf hamna pesa?

Eti ni kweli wanaume wa Jf hamna pesa?

Ah!! Una bahati mbaya sana wewe... badala ya kuweka order wakati nina mizuka, wewe unaweka order wakati mizuka ya kuhonga ishatulia!! Anyway, labda nitakufikiria... Demiss mwenzako hivi sasa anacheka kidola dola tu!!!
Nifikirie jamani. Usiku umepita bila bila leo
 
@Chige the don hatanisahau katika ufalme wake. Nishamtumia namba ya mpesa airtel money tigo pesa na z pesa account ya crdb equity na Barclays nasubiria tu atakapotuma. Ntakupa mrejesho wifi
What did you just say?! Kabla sijaona hii post, nilisema ningekufikiria lakini kwa udhalilishaji huu ulionifanyia hapa, NO WAY!!! Unaniwekea hivyo v-MPesa, mara Tigo Pesa sijui nini na nini... yaani unaniwekea banking system ya wauza mchele akina Malcom Lumumba mimi!!!
 
What did you just say?! Kabla sijaona hii post, nilisema ningekufikiria lakini kwa udhalilishaji huu ulionifanyia hapa, NO WAY!!! Unaniwekea hivyo v-MPesa, mara Tigo Pesa sijui nini na nini... yaani unaniwekea banking system ya wauza mchele akina Malcom Lumumba mimi!!!
Hahahahaha,
Naona umekuja kunileta fitna hapa...
Halafu ujue totoz zinapendaga vibabu kama sisi...Wanasema tunajua kulea!
 
Back
Top Bottom