Eti ni kweli wanaume wa Jf hamna pesa?

Eti ni kweli wanaume wa Jf hamna pesa?

Hahahahahaha,
Kuna jamaa yangu moja alipataga pensheni bwana akakimbia hadi nyumbani kwake kwenda kuishi na kimwanafunzi cha chuo. Akakijengea nyumba kijijini kwao, tulivyomuuliza mzee mbona unatumia vibaya akatujibu kwamba anafanya hivyo kwasababu anakaribia kufa na mpaka zinaisha atakuwa keshakufa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom