Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa kaka angu si unajua nakuamini sana chochote unachosema nakusikiliza hata ukisema niachane na Wick kaka nitakusikilizaLau kama majungu ingekuwa mtaji, hivi sasa ungekuwa level za kina Dangote!!! Shunie dadangu, achana na fitina za huyu jamaa...
Mie MTU mzima ujue ,ukijua hili utajua nimejuajeUmejuaje
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kaka chige kumbe anko Malcom Lumumba alisema kweli una undugu na wakingaHivi Mzigua kwanini unapenda kunikosea bhana?! Mara MPesa wakati unafahamu kabisa hayo vimihamala vya MPesa ni vya wauza mchele... au siku hizi kuna MPesa Forex Account?!
Hapa tena, oh! Eti unanibembeleza! Yaani unataka nionekane bahiri sio... kwamba, sifanyi money transfer hadi nibembelezwe!!
NakuonaMzima nimeweka mingo hapaaa
Hahaha, heri wewe uko nanjilinji niliko mm,kwa mbali nasikia tu ,mitutu maramamae ,cjui wana birthday hukoAisee
Huku nanjilinji kwangu leo naona tigo inasumbua sana muda si mrefu nawaaga net shida
Hahhaha pole sana yaani mm nilivyo muoga nawaza tu ningekuwa nipo sehem hizo sijui ingekuwajeHahaha, heri wewe uko nanjilinji niliko mm,kwa mbali nasikia tu ,mitutu maramamae ,cjui wana birthday huko
Hombolo kuna chuo hapo nimesahau jina ,pia kuna kijiji cha wenye ukoma na bwawa kubwaaaHuku hombolo sisi tigo yasoma 4g ngoja niangalie sultan azam 2
Basi nakula hela yakoAkuuuuuu sitaki miyeeee
Mbona mi kanigomea sasa. Na picha nimemtumia imshawishi. Au kanionaje sijuiHuyo tycoon anajua mwaga fedha kama chizi.
Hahaahahahaaa. Ndo maana niliomba msamaha kaka. Nasubiri mzee wangu Malcom Lumumba auze ng'ombe tule maisha.Hivi Mzigua kwanini unapenda kunikosea bhana?! Mara MPesa wakati unafahamu kabisa hayo vimihamala vya MPesa ni vya wauza mchele... au siku hizi kuna MPesa Forex Account?!
Hapa tena, oh! Eti unanibembeleza! Yaani unataka nionekane bahiri sio... kwamba, sifanyi money transfer hadi nibembelezwe!!
Nasubiria kakaOh! I'm touched! Ngoja niongee na PA wangu na bila shaka atawasiliana na wewe soon!!!