Eti Rayvan, Asley,Beka na Harmonize nani ana sauti nzuri kwa kuimba.

Eti Rayvan, Asley,Beka na Harmonize nani ana sauti nzuri kwa kuimba.

Nitajua nani ana sauti nzuri siku wakifanya live performance ila hizo sauti za baada ya mixing huwezi jua nani mkali...
 
Mi ni mtu mzima ila nafuatilia mziki wa vijana tena vijana kweli , yaani wale wenye umri mdogo lakini wanafanya vema katika gemu kama niliowataja hapo juu ns hakuna aliefikisha miaka 25.
Sasa leo nilikuwa kwa kijiwe cha vijana na nikakuta majibizano yanaohusu hao watu wanne Rayvan Asley Beka na harmonize kuwa yupi ana sauti nzuri ya kuimba, yaani nani mkali. Tuelewane swali ni nani mkali wa sauti na sio yupi mkubwa kwenye gemu, kwa maana ukisema yupi mkubwa jibu lipo.

Kwa upande wangu wote wako vizuri tena vizuri sana, je wenzangu mna maoni gani.
Au nimuongeze Q boy msafi hapo katika listi ? Mana nae muimbaji

Wewe ni mtu mzima halafu ndio umeleta mada ya kushindanisha sauti ili kupata mshindi?..halafu mshindi akipatikana utarudi kwenye kijiwe chako kubishana??..au nyie ndio wale zamani mlikua mnaitwa "mtu mzima hovyo"
 
Beka is underrated
Dogo yuko poa sana sema tu watu hawamuelewi.



Sent from my Huawei mate 9
 
Mi ni mtu mzima ila nafuatilia mziki wa vijana tena vijana kweli , yaani wale wenye umri mdogo lakini wanafanya vema katika gemu kama niliowataja hapo juu ns hakuna aliefikisha miaka 25.
Sasa leo nilikuwa kwa kijiwe cha vijana na nikakuta majibizano yanaohusu hao watu wanne Rayvan Asley Beka na harmonize kuwa yupi ana sauti nzuri ya kuimba, yaani nani mkali. Tuelewane swali ni nani mkali wa sauti na sio yupi mkubwa kwenye gemu, kwa maana ukisema yupi mkubwa jibu lipo.

Kwa upande wangu wote wako vizuri tena vizuri sana, je wenzangu mna maoni gani.
Au nimuongeze Q boy msafi hapo katika listi ? Mana nae muimbaji
Huyo beka anaimba ka anakunya
 
Sio nyota mkuu sema alikua hajapata nafasi ya kuonesha kipaji chake. To me he is the champion
 
Back
Top Bottom