Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu bora maji majuzi nimeingia wilayani kwangu katika tembea tembea nikakaa na wana ghafla wakaja vijana wa garage wanamuimbia mwenzao na kummwagia oil chafu tena ile ya magari ya diesel alooo dogo hafai nikajiuliza anaenda kuoga na pakiti ngapi za sabuni ya unga?Hii tabia siipendi.
Nani kasema ni kumwagiana maji, mambo ya kubatizana yanaanzia wapi.
Hii comment imenifikirisha content za L3gal poπoBora shahawa
Kwanza keki chakula cha wanawake.yale marangi rangi aisee huwa siyaelewiKusherehekea birthday ni utoto ulioambatana na ujinga
Nikionaga wanaume wanaobeba keki za bday zao natamani niwatukane
Umesema vyema mkuuKwanza keki chakula cha wanawake.yale marangi rangi aisee huwa siyaelewi
Hiyo michezo binafsi siipendi kabisa hata kuona mtu akifanyiwa. Kuna hiyo na hizi wanaita prankHapana mkuu ni bora unfikishe kileleni nitakuelewa. Lkn Unanikuta nimekaa nachat napata wine, unimwagie maji maweeee
Aisee!Bora shahawa
AiseeHapana mkuu ni bora unfikishe kileleni nitakuelewa. Lkn Unanikuta nimekaa nachat napata wine, unimwagie maji maweeee
Asante na hongera sana mama Edina, wewe ni mama bora.Nimezoesha wanetu tukae tuombe dua, tuseme asante mungu, asante baba. Asante mama, tumuombee mwenzetu aliyeongeza umri. Sio keki, sio maji, sio party, na nimewaasa, kwamba hata ukimaliza la saba, no party lkn dua, ukimaliza form 4 dua sio party, ukimaliza chuo kikuu dual na sadaka naomba mniige tubadili jamii na vizazi.
Kama mungu amekubariki kidogo nenda na watoto wako centre of orphan wawaaone wenzao walio marginalised watajifunza kitu. I usually do that, join me guys