Eti tajiri ni mtu mwenye pesa au mali kiasi gani?

Eti tajiri ni mtu mwenye pesa au mali kiasi gani?

Shuku_

Senior Member
Joined
Sep 26, 2019
Posts
174
Reaction score
216
Habari zenu wakuu 👋🏽 👋🏽

Wakuu nipo hapa jukwaani nahitaji kujua TAJIRI ni mtu mwenye PESA au MALI kiasi gani?

Maana kumekuwa na maana tofautitofauti ambazo hutumiwa na watu kulingana na mtazamo wao kuhusu neno TAJIRI kulingana na vile ambavyo inawafaa.

Ajabu ni kwamba unaweza uka miliki hata mlioni 5 na bado usiitwe TAJIRI!

Pia kuna watu wanawaita hawa wamiliki wa MABASI nchini akina BM na wengineo kuwa ni MASKINI na sio MATAJIRI!

Sasa hapo ndo nnapo changanyikiwa, yaan MATAJIRI wanaitwa MASKINI na MASKINI wanabaki kuwa hivyo hivyo na jina lao.

images (5) (6).jpeg
 
Naomba kufahamu tofauti ya Rich and Wealth
Kulingana na philospohy za Robert Kayosoki "Rich Dad Poor Dad" "4 Quadrants"" Etc ....

Thamani ya mali zako zotee huo ndio utajiri wako. Na siku ambazo utaishi bila kufanya kazi yoyote huku ukitegemea utajiri/mali zako hiyo ndio wealth.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Habari zenu wakuu 👋🏽 👋🏽

Wakuu nipo hapa jukwaani nahitaji kujua TAJIRI ni mtu mwenye PESA au MALI kiasi gani?

Maana kumekuwa na maana tofautitofauti ambazo hutumiwa na watu kulingana na mtazamo wao kuhusu neno TAJIRI kulingana na vile ambavyo inawafaa.

Ajabu ni kwamba unaweza uka miliki hata mlioni 5 na bado usiitwe TAJIRI!

Pia kuna watu wanawaita hawa wamiliki wa MABASI nchini akina BM na wengineo kuwa ni MASKINI na sio MATAJIRI!

Sasa hapo ndo nnapo changanyikiwa, yaan MATAJIRI wanaitwa MASKINI na MASKINI wanabaki kuwa hivyo hivyo na jina lao.

View attachment 3195306
Inategemea na viwango kuanzia kijiji mpaka kimataifa
 
Njia ambayo hta Forbes wanaitumia kupima utajiru ni kujumlisha thamani ya mali zako na sio ela Yako.
Duuh… Kumbe unaweza ukawa na MALI ila usiwe na PESA 😁😁 ajabu kwa kweli.
 
Tajiri
Habari zenu wakuu 👋🏽 👋🏽

Wakuu nipo hapa jukwaani nahitaji kujua TAJIRI ni mtu mwenye PESA au MALI kiasi gani?

Maana kumekuwa na maana tofautitofauti ambazo hutumiwa na watu kulingana na mtazamo wao kuhusu neno TAJIRI kulingana na vile ambavyo inawafaa.

Ajabu ni kwamba unaweza uka miliki hata mlioni 5 na bado usiitwe TAJIRI!

Pia kuna watu wanawaita hawa wamiliki wa MABASI nchini akina BM na wengineo kuwa ni MASKINI na sio MATAJIRI!

Sasa hapo ndo nnapo changanyikiwa, yaan MATAJIRI wanaitwa MASKINI na MASKINI wanabaki kuwa hivyo hivyo na jina lao.

View attachment 3195306
Tajiri ukiweza timiza ndoto zako
 
utajiri unategemea mambo 3
1. Watu
2. Afya
3. Mali. fedha
hayo yote matatu ukiwa nayo kwa kiwango kikubwa wewe ni tajiri
 
utajiri unategemea mambo 3
1. Watu
2. Afya
3. Mali. fedha
hayo yote matatu ukiwa nayo kwa kiwango kikubwa wewe ni tajiri
Mkuu… Lengo la kuanzisha uzi huu ni kutaka kujua hicho KIWANGO KIKUBWA ni kuanzia PESA kiasi gani!?
 
Msome Robert Kiyosaki Rich Dad and poor Dad.
Tajiri niyule anayeingiza zaidi ya anavyotumia yaani Kama kipato chako kwa mwezi ni sh milion 1 na matumiz yako kwa mwezi ni zaidi ya hiyo hivyo wewe sio tajiri.
Kuna kitabu kinaitwa MILLIONAIRE NETX DOOR kinaelezea vizuri kuwa na pesa nyingi na vitu vizuri sio utajiri watu wengi wanapenda kuwa na characteristics of matajiri lakini sio tajiri.
Tajiri hawezi kuhangaika kuhusu kulipa ada za wototo Wala akawa bize na kazi kiasi Cha kukosa muda wa kupumzika na kuenjoy.
Tajiri ana muda,Mali,pesa na AMANI YA MOYO ana mifumo mingi ya upataji pesa pia anaishi katika mfumo mzuri wa kijamii yaani sio mtu wa hovyo. Kwa taarifa yako utajiri uhausu maendeo ya Rohoni na mwilini pia ndio maana utakuta majiri wengi ni waumini wazuri wa dini au washirikina wazuri sana
 
Back
Top Bottom