Eti Train ya Umeme kununuliwa engine za Diesel ⛽

huu mradi ukifa raia hawatoaelewa kabisa

Ova
 
Upungufu wote unafanyiwa kazi na zile habari za kugushi zinakanushwa ingawa ni vigumu kuweza kuwazuia wazushi wasiandike habari za kutunga mitandaoni.

Huu uzi upo ukurasa wa kumi hivi sasa lakini habari inayojadiliwa ni FAKE, ndio uone ugumu wa kuzuia usambazaji habari potoshi.
 
Kuna wajinga wanaupiga vita na mfano ni uzi huu lakini hawatakuja kushinda kwa namna yoyote ile.
Adui namba 1 wa huo mradi ni hao hao wanauendesha na kuusimamia huo mradi
Tushaona miradi mingi ya serikali ikijifia

Ova
 
BBC wenyewe walireport jana
Iliandikwa but kitaaluma ilitakiwa tuoneshwe ni nani aliyesema hili. But taarifa haikuwa na msemaji hivyo kama wanajf tulitakiwa kuwa makini kuchangia mchango wa kupinga na matusi juu Kwa kitu ambacho kiukweli hakuna ukweli wowote.
Nb.
Serikali imekanusha taarifa hii Kwa kusema ni uzushi mtupu
 
Uongozi ni falsafa.

Ukikosa falsafa, utakua mtu wa kudandia dandia kila kitu.

Japo mm siwezi kumlaumu dereva wetu kwa sasa maana anaokoa jahazi tu ili tufike kituo kinachofuata, ila anapotaka kuturudisha tena ndo simuelewi kwa sababu hata yeye anaona kabisa haeleweki
 
🤣😅😅😅 kutoka umeme hadi dizel, baada ya hapo Makaa ya mawe
Hahaha...! Na mwisho, za kutumia kuni. Haya mabadliko unayoyaona ya viongozi yanafanyika kla wkt, unafkir yana7bishwa na nn? Ni upeo wa viongozi ...nk
 
🤣😅😅😅 kutoka umeme hadi dizel, baada ya hapo Makaa ya mawe
Hahaha...! Na mwisho, za kutumia kuni. Haya mabadliko unayoyaona ya viongozi yanafanyika kla wkt, unafkir yana7bishwa na nn? Ni upeo wa viongozi ...nk
 
🤣😅😅😅 kutoka umeme hadi dizel, baada ya hapo Makaa ya mawe
Hahaha...! Na mwisho, za kutumia kuni. Haya mabadliko unayoyaona ya viongozi yanafanyika kla wkt, unafkir yana7bishwa na nn? Ni upeo wa viongozi ...nk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…