Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upungufu wote unafanyiwa kazi na zile habari za kugushi zinakanushwa ingawa ni vigumu kuweza kuwazuia wazushi wasiandike habari za kutunga mitandaoni.Kumbe taarifa zote za treni kukwama mbugani kwa masaa kadhaa zilizoripotiwa tangu safari za Morogoro na Dodoma zianze ni za kutunga?
Kukwama kwa treni kisa ngedere na bundi ni uongo?
Kisingizio cha watu kuhujumu miundombinu ya reli pia ni uongo ulioshadidiwa na wajinga?
Sababu hasa ya kuendelea kuishi in denials ni nini? Badala ya kuyafanyia kazi mapungufu mnaamua kukaza shingo na kuita watu kuwa wajinga? Hiki kiburi chimbuko lake ni nini? 😲
Kuna wajinga wanaupiga vita na mfano ni uzi huu lakini hawatakuja kushinda kwa namna yoyote ile.huu mradi ukifa raia hawatoaelewa kabisa
Ova
Adui namba 1 wa huo mradi ni hao hao wanauendesha na kuusimamia huo mradiKuna wajinga wanaupiga vita na mfano ni uzi huu lakini hawatakuja kushinda kwa namna yoyote ile.
Baadae ni kuniBaada ya hapo ni mkaa
Aliwekwa na mafisadi hawezi kufanya chochoteDP World na makaaa ya mawe hatujui hata kinaingia kipi kinatoka kipi sababu bado bajeti zinamshinda bibi kijacho huku,kila estimate za bajeti zinakwama.
nasikia sekta ya nyumba imeshamiri.Nchi hii nadhani ina laana siyo bure, hapo kuna madalali wameshatega mitego malundo ya hela yaingie!
Unazima umeme ili uwashe koroboi!!!
Hatari snBaadae ni kuni
Iliandikwa but kitaaluma ilitakiwa tuoneshwe ni nani aliyesema hili. But taarifa haikuwa na msemaji hivyo kama wanajf tulitakiwa kuwa makini kuchangia mchango wa kupinga na matusi juu Kwa kitu ambacho kiukweli hakuna ukweli wowote.BBC wenyewe walireport jana
Uongozi ni falsafa.Tatizo ni dereva mwenyewe. Mimi Huwa namuona hamna kitu kabisa. Alifikaje hapo. Hana Nia nzur na nchi,Hana uwezo wa kuendesha gari, uwezo wake wa kujenga hoja na kuongea ni mdogo,haeleweki falsafa yake ya udereva ni ipi. Lakini Kuna wajinga utawasikia mitano tena. Huwezi ukawa na akili timamu ukampa mitano tena dereva wa hovyo kiasi hicho.
Hahaha...! Na mwisho, za kutumia kuni. Haya mabadliko unayoyaona ya viongozi yanafanyika kla wkt, unafkir yana7bishwa na nn? Ni upeo wa viongozi ...nk🤣😅😅😅 kutoka umeme hadi dizel, baada ya hapo Makaa ya mawe
Hahaha...! Na mwisho, za kutumia kuni. Haya mabadliko unayoyaona ya viongozi yanafanyika kla wkt, unafkir yana7bishwa na nn? Ni upeo wa viongozi ...nk🤣😅😅😅 kutoka umeme hadi dizel, baada ya hapo Makaa ya mawe
Hahaha...! Na mwisho, za kutumia kuni. Haya mabadliko unayoyaona ya viongozi yanafanyika kla wkt, unafkir yana7bishwa na nn? Ni upeo wa viongozi ...nk🤣😅😅😅 kutoka umeme hadi dizel, baada ya hapo Makaa ya mawe