Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
we bwege kwanini CCM wanapeleka Majeshi Zanzibar kila wakati wa uchaguzi?Ktk kutafakari juu ya agenda ya vyama pinzani hapa Tz tunapoelekea ujaguzi, nimewaza na kawazua bila kupata majibu juu ya yale yanayojiri kwenye vyama vyenyewe na kile wanachojaribu kushinikiza kifanyike!
Ktk yote vifanyavyo hivi vyama vinajaribu kuhadaa watz kama mtakavyoona kwenye clips hapo chini!...
Sera ni nini?Acheni unafki. Wabunge zaidi ya mia moja waliingia bungeni kupitia tume ipi? Upinzani wa kipindi hiki umekosa Sera.
CCM imetoa fomu 1 tu ya mgombea urais. Chadema imetoa fomu zaidi ya moja ya mgombea urais. CCM imeonesha mfano kwenye haki ya wanachama wake kugombea nafasi ya urais.Ktk kutafakari juu ya agenda ya vyama pinzani hapa Tz tunapoelekea ujaguzi, nimewaza na kawazua bila kupata majibu juu ya yale yanayojiri kwenye vyama vyenyewe na kile wanachojaribu kushinikiza kifanyike!
Ktk yote vifanyavyo hivi vyama vinajaribu kuhadaa watz kama mtakavyoona kwenye clips hapo chini!.
HahahahaRip Aquilina
Mkuu ,watu hawazingumzii uchaguzi ndani ya ccm,wanazungumzia uchaguzi wa nchi yeye wanachama wa vyama vya siasa na wasio wanachama wa chama chotechote Cha siasa.Ni ujinga wa kiwango Cha phD kuilinganisha nchi yetu na kikundi cha watu kwa maana ya chama cha siasa.Nchi yetu inapaswa kulinganishwa na nchi nyingine wanazoishi watu wastarabu. Sasa ninyi huu ujasiri wa kulinganisha nchi yetu na chama cha siasa sijui mnaupata wapi? Au ndo ujinga wenu umetamarakiKtk kutafakari juu ya agenda ya vyama pinzani hapa Tz tunapoelekea ujaguzi, nimewaza na kawazua bila kupata majibu juu ya yale yanayojiri kwenye vyama vyenyewe na kile wanachojaribu kushinikiza kifanyike!
Ktk yote vifanyavyo hivi vyama vinajaribu kuhadaa watz kama mtakavyoona kwenye clips hapo chini!...
Mbona unataka kupasuka? Chama kikongwe kinaogopa Tume Huru Aibu sana TUME HURU HAIKWEPEKIKtk kutafakari juu ya agenda ya vyama pinzani hapa Tz tunapoelekea ujaguzi, nimewaza na kawazua bila kupata majibu juu ya yale yanayojiri kwenye vyama vyenyewe na kile wanachojaribu kushinikiza kifanyike!
Ktk yote vifanyavyo hivi vyama vinajaribu kuhadaa watz kama mtakavyoona kwenye clips hapo chini!
Dai la tume huru ya uchaguzi: hiki kiini macho kimekuwa agenda kwa vyama hivi hasa baada ya kukosa agenda mbadala itakayoweza pambanishwa na Ccm iliyojizatiti kwa kujibu vijiagenda vyote vilivyokuwa vikiwapa kiki ktk awamu zilizopita!..
Wananchi wanataka thamani ya kura yao ndani ya sanduku inaonekana na siyo kuchezewa. Thamani ya kura itaonekana tu chini ya wasimamizi huru wa uchaguzi. Haya siyo matakwa ya chama cha siasa chochote. Ni matakwa ya wananchi wengi.Nadhani anaetaka tume huru zaidi ni wananchi mkuu sio kina Mbowe.
Kwani Nani anagombea uenyekiti wa CCM? Uenyekiti wa wapi?Vipi CCM mbona mmechapisha fomu moja ya Uenyekiti vipi kina sumaye hawautaki uenyekiti?
Wanatafuta namna ya kuhalalisha kuwa saccos siyo chadema tuu, iwe hata CCM na saccos pia! Makamanda mnafeli wapi?????Chama gani hicho? Cha kwenye flash au ile kampuni ya Mbowe!?
Hawa jamaa kwa kweli uchaguzi huu umewashika pabaya Sana! Wangetafuta kazi nyingine Kama siasa imewashinda! Mziki wa Magu ni mzito Sana!Wanatafuta namna ya kuhalalisha kuwa saccos siyo chadema tuu, iwe hata CCM na saccos pia! Makamanda mnafeli wapi?????