Watu wamefikra kama walimu ni wale watu ambao ni failures nawapa pole sana, maana watoto zao wote wanafundishwa na hao walimu na wao kama wazazi wanakubalije kulipa ada tena zaid ya milion 2? Walimu wa cheti, na stashahada ndio hao hao wanao jiunga na chuo kikuu na kupata degree, sema watu wanawadharau walimu ndio maana wanasema walimu ni failure ila sio kweli. Nyerer alikuwa mwl na sio failure mtu anae wafundisha wanafunzi mpaka wanakuwa engineers, dactari, famasia n.k wanaitwa "walimu", sasa mwalimu failure ni yupi?