Eti Uingereza binti mzuri kama huyu kwao eti ni mbaya hana mvuto kisa mnene

The Mongolian Savage

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2018
Posts
8,082
Reaction score
17,838
Mzuka wanajamvi.

Haka ka red head kazuri sana miaka 23 plus size model lakini Uingereza eti wanamuona ugly na hana mvuto. Sasa najiuliza WTF really is wrong with this people?!😠😠😠



Sasa huyu hapo chini ni mdogo wake kate mke wa prince William wanamsifu mrembo na ana umbo la kuvutia balaa yani Inasikitisha demu utadhani mjusi eti kwao ndio ana mvuto na mrembo .

This is wrong totally unacceptable!
 
Adele naye alivyo mpuuzi kajikongoroa kwa kujikondesha eti aliambiwaga ni mbaya hana mvuto kwasababu mnene. Muone alivyo sasa kichekesho. Pambaaff.


 
Hamna banaaaaa you can't justify this shit
Wabantu tuna shape zetu flani ambazo tunazihusudu. We like curvy ladies with a chubby looking environment.

Hao madem english figure huku kwetu ndio soko lao lipo chini mno kiasi kwamba wanapata tabu sana to get and keep a man around them.
 
Lakini kama jamaa walivyosema hapo juu uzuri wa mtu upo machoni mwa anaemwangalia.

In short mimi sipendi mwanamke mnene asee, napenda wembamba wembamba kama mshumaa.
Yani hao wanawake wanajikingiroa they have fat genes. Hii kasumba ilianza sana miaka ya sabini Uingereza kujikondesha kondesha ovyo ovyo
 
Hiyo ginger ikizidi unene kidogo tu itachukiza as kwa wazungu unene kwao ni uluzer....

Ila uhalisia ni kuwa wanene wapo wengi kwao kuliko kwenu ila siyo mastaa kule wanaendana na matakwa ya ustaa...

Nilimuona Jennifer Hudson aisee kajikondesha....

All in all weusi wanavutia zaidi wakiwa na nyama kiasi...hebu mfikirie yule aliyeigiza Ride Along Tanaka sijui aisee .....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…