The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 8,082
- 17,838
- Thread starter
-
- #21
Yani unampongeza Adele kwa kujikongoroa? Ebu Cheki alivyokuwa mnene zuri kweli kweli na youthful looksMimi nimpongeze Adele asee kupunguza mwili ni kazi ngumu Sana, labda uchkue mkopo bank ndo Unaweza konda kwa hapa tz
Kwa hiyo hapa Mkaldayo kakutana na Mgerasi? Bora mimi Mgalatia sinaga shobo na mademu.Yani wee acha tu mgerasi hapo ndio ulevi wangu.
Nini wewe MyebusiKwa hiyo hapa Mkaldayo kakutana na Mgerasi? Bora mimi Mgalatia sinaga shobo na mademu.
Anakaa wap huyu nsia?Haya basi Cheki kifaa hicho cha uchagani Nsia Swai maamae ni sheedaView attachment 1626725
Alikuwaga SAUT. Laptop yake ilileta shida akaipeleka kwa fundi. Fundi akaitengeneza nakukuta hii picha. Akamblacmail asipompa papuch ataiweka online. Nsia akakataa. Na ndio hivyo tena ipo Google hadi leo toka 2009Anakaa wap huyu nsia?
Beauty is subjective mkuu! Ungekuwa unaelewa maana ya English figure usingepata tabu!
Mkuu..mkaldayo navyojua ni mtu wa old moshi..hivi huwa ina maana nyingine?Nini wewe Myebusi
Wote si wazuri ila kama ninapewa choice nitachagua wa kwanza huyo mlingoti/fito nitawaachia wenyewe wazungu.Mzuka wanajamvi.
Haka ka red head kazuri sana miaka 23 plus size model lakini Uingereza eti wanamuona ugly na hana mvuto. Sasa najiuliza WTF really is wrong with this people?!😠😠😠View attachment 1626676View attachment 1626685
Sasa huyu hapo chini ni mdogo wake kate mke wa prince William wanamsifu mrembo na ana umbo la kuvutia balaa yani Inasikitisha demu utadhani mjusi eti kwao ndio ana mvuto na mrembo . View attachment 1626678View attachment 1626679View attachment 1626680
This is wrong totally unacceptable!
[emoji3][emoji3][emoji3]Li adele lilikuwa lizuri sana zamani... sasa hivi kamekuwa kama chupa ya double kick...