Eti Uingereza binti mzuri kama huyu kwao eti ni mbaya hana mvuto kisa mnene

Wazee maisha yakitushinda bongo tuzamie majuu tukaoe haya matukunyema ya kizungu..hayana soko kabisa

Sema wazungu muda mwingine bhana..yaani wanapenda wanawake waliokongoroka..mifupa tupu,,eti ndo wazuri
 
Wote si wazuri ila kama ninapewa choice nitachagua wa kwanza huyo mlingoti/fito nitawaachia wenyewe wazungu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…