Eti virus vya ukimwi huonekana baada ya muda gani?

Eti virus vya ukimwi huonekana baada ya muda gani?

Yeye mwathirika hatakuwa na haja ya kutumia kinga, wajibu wa kutumia kinga utakuwa wa huyo atakayekuwa anataka kutembea naye. Actually the infected has nothing to lose

Hii si kweli,acha uongo. Kuna maambukizi mapya. Kuna types za virus
 
Wataalam wanasema ni wiki 6 hadi miezi mitatu (90 days) ila kwa vipimo vyetu wanashauri ni 90 days ndio uhakika zaidi!!! Ila kwa dalili wanasema hakuna kabisa na ndiyo maana wengi wanaishi na virusi kwa muda mrefu bila kujijua.

Unajijua tu pale kinga inaposhuka na inabidi mwili uanze kupambana!!! Wenye utaalam wao watujuze kama kuna any dalili ndani ya miezi mitatu ya infection!!!

Ninauliza kwa sababu kitu kama virus kinaingia mwilini which is a foreign agent kweli mwili haushtuki hata kidogo? Maana ukiwa hata na bacterial infection unapata homa, tezi kuvimba etc, sasa kwa virus ambao ni hatari je hakuna dalili za awali kabisa? Changamoto hii.
 
Hamjamjibu mtoa mada bla bla bla nyingii nenda ka google mwaya wee humu utalishwa matango pori jf imevamiwa cku hzi wanajf original wameshajitoa waliokuwepo ni wahamiaji pole
 
kuna dawa unapewa baadaya tendo,ila isizidi masaa 72 kama sikosei{sina uhakika na masaa}inasaidi na kama inazuia maambukizi.sijui kama tz wanatoa hizo dawa.kwa nchi za wenzetu hupewa kwa watu walio repiwa

Zipo na hata wataalam wa afya wapopata ajari kazini kwa kugusa damu ya mugonjwa hutumia hizo dawa
 
Virusi vya ukimwi huonekana kwenye vpimo baada ya muda gan toka kuingia na je inamaana ukipima na mwenzako leo mkikutwa wazima ni ruhusa kujiachia?
 
Virusi vya ukimwi huonekana kwenye vpimo baada ya muda gan toka kuingia na je inamaana ukipima na mwenzako leo mkikutwa wazima ni ruhusa kujiachia?

Hahaha tunaitaga window period kwa kiswahili ni kipindi cha mficho ni miezi mitatu tangu kuingia,kwa kirusi mwilini mwako ndo kinaonekana kipo unaweza pima leo ukaambiwa huna halafu baada,ya miezi labda minne ukaenda tena kupima ukaambiwa una ukimwi unaanza kusema doctor muongo mimi nilipima nikaambiwa sina na wala sijatumia njia yoyote ile...so ndugu ni miezi 3 mfano ukasex leo na mtu mwenye ukimwi na ukapata,maambukizi baada ya wiki ukienda kupima huwezi ona kama una ukimwi mpaka miezi mitatu ipite ndugu
 
Homa, Maumivu ya kichwa, ndo zinaonekana mapema na kama utazichukulia poa zitaisha zenyewe na kitafata kipimdi ambacho utajiona uko sawa ila phase III ikifika ndo inajidhihirisha kwa dalili zote na usipotafuta matibabu mapema inaweza kukuua
 
Yeye mwathirika hatakuwa na haja ya kutumia kinga, wajibu wa kutumia kinga utakuwa wa huyo atakayekuwa anataka kutembea naye. Actually the infected has nothing to lose
Una sehemu nilisoma kuwa hata waathirika Wana wajibu wa kujilinda ili wasipate maambukizi mapya
 
Back
Top Bottom