Yeye mwathirika hatakuwa na haja ya kutumia kinga, wajibu wa kutumia kinga utakuwa wa huyo atakayekuwa anataka kutembea naye. Actually the infected has nothing to lose
kuna dawa unapewa baadaya tendo,ila isizidi masaa 72 kama sikosei{sina uhakika na masaa}inasaidi na kama inazuia maambukizi.sijui kama tz wanatoa hizo dawa.kwa nchi za wenzetu hupewa kwa watu walio repiwa
Only three weeks virus huwa vimeshaonekana
Virusi vya ukimwi huonekana kwenye vpimo baada ya muda gan toka kuingia na je inamaana ukipima na mwenzako leo mkikutwa wazima ni ruhusa kujiachia?
HyPole sana. Hebu soma hii " An infection with HIV can take six weeks for detection. At 90 days, 95% will be positive. At 6 months, 99% will be positive. " Next time utumie kinga (kama utakutwa negative)
Yani ukifnya mambo na m2 ambae baadae unaskia habr mbya kuhusu yeye yan mbna utakoma
Una sehemu nilisoma kuwa hata waathirika Wana wajibu wa kujilinda ili wasipate maambukizi mapyaYeye mwathirika hatakuwa na haja ya kutumia kinga, wajibu wa kutumia kinga utakuwa wa huyo atakayekuwa anataka kutembea naye. Actually the infected has nothing to lose
Tena ukipata specie mpya ndio hatari zaidimmmh!siamini,kunakuongezewa specie ambayo hukuwa nayo na hivyo ku-complicate afya!!!
kuharisha na baadae unakufaSiku hiyohiyo unaanza kuharisha na baadae unakufa.
Umeufufua w nn