Jana mimi na my partners in crime tumekubaliana kimsingi kuwa hii kauli ya vyuma vimekaza ni overrated na kujifariji kwa watu tu!
Baada ya kuangalia Man Utd akimshughulikia kibonde wake wa kila siku Arsenal pale Samaki Samaki Masaki tukaamua tusheherekee kwa kuzunguka viwanja kadhaa na kukaa nusu saa kila kiwanja.
Kwa kweli bata linalika kama kawa, viwanja vyote (5)tulivyofanikiwa kupita vilikuwa vimejaa na watu wanakula shangwe
Tunamuomba Makonda atuachie Dar yetu kama tulivyozoea tunywe hadi saa mbili asubuhi au hadi hela ziishe!
Jumapili njema....