Pape
JF-Expert Member
- Dec 11, 2008
- 5,487
- 83
shindwa! Huraaaaaaaaaaaaaay!Secretary kuliwa na boss ni sehemu ya kaz. Kama hutaki kuliwa acha kaz...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
shindwa! Huraaaaaaaaaaaaaay!Secretary kuliwa na boss ni sehemu ya kaz. Kama hutaki kuliwa acha kaz...
Ndio maana Gadafi mabodigadi wake woote wanawake.......anajichagulia tu....
Sio wivu tunayona huku kwa maofisini..hahahaha jamani nyie wanaume wivu utawamaliza :bowl:
Kuyamaliza hayo muwaachishe kazi au kwa wale ambao hawajaoa waoe walimu teh teh!
kwa raha zake na ndio maana tuna mabodigadi wanawake kwenye nyumba zetu(HOUSE GIRL) UNAJICHAGULIA TUHiii ni kwa hisani ya watu watandale
shindwa! Huraaaaaaaaaaaaaay!
Ni kama kahawa kwa boss, kama boss hataki coffee, inabidi waende lunch New Africa na maeneo mengineyo.
Du Sam usicheze kabisa na hii issue mie hapa nilipo na mediate/ councel ndoa ya mshikaji iko matatani; rafiki yangu mmoja ndoa iko kwenye mawe kisa ufadhili uliotolewa na housegirl....; Mama alisafiri mfululizo na ujuavyo mkoani huku kijibaridi kimefululiza na Rafiki yangu akvaa unyani akasoma namba za back3 mchezo ukakubalika na mechi ikachezwa! Mbaya zaidi alipita peku; sasa huku na ule back 3 akingiwa na woga baada ya siku kupita akijua kuwa huenda kanasa na ndipo Mama aliporudi tu mtoto wa watu akaamua ajishitaki na kumuungamia Mama mwenye nyumba; soo lipo kwa Jamaa yangu sasa nyumba imepata joto kuliko alilotarajia!
Na headmaster nae?
du sam usicheze kabisa na hii issue mie hapa nilipo na mediate/ councel ndoa ya mshikaji iko matatani; rafiki yangu mmoja ndoa iko kwenye mawe kisa ufadhili uliotolewa na housegirl....; mama alisafiri mfululizo na ujuavyo mkoani huku kijibaridi kimefululiza na rafiki yangu akvaa unyani akasoma namba za back3 mchezo ukakubalika na mechi ikachezwa! Mbaya zaidi alipita peku; sasa huku na ule back 3 akingiwa na woga baada ya siku kupita akijua kuwa huenda kanasa na ndipo mama aliporudi tu mtoto wa watu akaamua ajishitaki na kumuungamia mama mwenye nyumba; soo lipo kwa jamaa yangu sasa nyumba imepata joto kuliko alilotarajia!
mkuu msmwambie dawa ya kumaliza ni kikiri na kutubu mbele za mkewe na mbele za mungubasi...mi ilinichukua miezi mitatu kukubali hali halisi na sasa niko huru tena huru kweli kweli...
MJ1 karibu dah cku nyingi sjiakutia machoni ...........oops I meant sijaona post zako; mzima weye karibu tupo !
Sam nimecheka na nimesikitika sana nikuambie kitu naye ka back 3 kanatoka huko huko Singapore! Vitoto vya kule ni balaa; tume do ze nidful lakini badal aya kukafukuza niewashauri wakatafutie kazi mkoa mwingine ama dar na nadhani washafanikiwa hilo..................ni braaaaaaaa!
Sam na wapwaz naomba radhi ,,,,,,,dah kiswahili hiki! By the way MJ! ni sista wangu she knows that wewe tu sam umeshikia bango lugha hapa!