Ambassador
JF-Expert Member
- Jun 2, 2008
- 933
- 75
Inna lillahi wainna ilayhi raajiuun!mkuu mi nimeona idadi aisaidiikuna mzigo mmoja unaliwa na mang direct/comm dir/finance direct/maarketing dir/ walipojishtukia wote wanaingizwa chamboni sehemu na wakatti tofauti mwanamke akatishia kumwaga radhi mpaka kesho kaamua kkubaki na manag/tooooooopna ameolewa ana mume na watoto 2 bahati mbaya kati ya hao dirct mmoja tumemlaza pale kinondoni majuzi wiki iliopita kumradhi wahusika..ila ni sehemu ya kufundishana..dada zetutumiac&******m kwa hisani ya watu wa jfnahisi utaelewa amelala na ugonjwa gani
Na boss anayependa kula kula akubali kuliwa kidogo siku akibambwa!Secretary kuliwa na boss ni sehemu ya kaz. Kama hutaki kuliwa acha kaz...
wanadai kila ukigusa uachi....wasshindwe in jesus name
Kuna mama mmoja jirani alikuwa anakwenda masomoni Belgium, alichofanya alimfukuza kaz h/girl aliyekuwa mbaya mbaya, akaleta chuma cha toto akakiacha na mumewe. Kabla hajaondoka alimpa h/girl somo refu kuwa usikubali 'mtu' akudanganye mfanye mpnz bila kutumia condom. Wife wangu alikuja kumdadisi kwann alifanya vile akampa jibu fupi tu 'ili baba awe anarudi nyumbani mapema watoto wasiwe wapweke sana'!!!!!
i know what you mean mshakaji alipanga apone kwa siku 1 tu lakini akajikuta amepanga ratiba kama wewe vile! Teh teh ..............braaaaaaaa!
mkuu mi nimeona idadi aisaidiikuna mzigo mmoja unaliwa na mang direct/comm dir/finance direct/maarketing dir/ walipojishtukia wote wanaingizwa chamboni sehemu na wakatti tofauti mwanamke akatishia kumwaga radhi mpaka kesho kaamua kkubaki na manag/tooooooopna ameolewa ana mume na watoto 2 bahati mbaya kati ya hao dirct mmoja tumemlaza pale kinondoni majuzi wiki iliopita kumradhi wahusika..ila ni sehemu ya kufundishana..dada zetutumiac&******m kwa hisani ya watu wa jfnahisi utaelewa amelala na ugonjwa gani
Kuna maneno naona yamekushinda kuandika sijajua sababu za kushinda naomaba nisaide hapo kwenye ******* inatakiwa iwe CONDOM na hapo utaelewa amelala na ugonjwa gani inatakiwa iwe UKIMWI..
dark bday ya mke wangu leo na miezi mitatu ya mwanangu na miaka miwili tangu ujio wa hgirl anaemtunza mwanangu baada ya milima na mambonde si bora nifurahi wacha hilo ni
Masikini9_jeuri kaka yangu aksante sana najua kiswahili chako ni cha kuniprovoke hahaha but sitareact ili usijijengee jina kwa reactions zangu lol. Aksante kaka yangu tupo pamoja
mkuu mfalila cha kwanza ni kumtreat kama binti yako mkubwa yaani unampa madaraka yale juu ya wanao; pili ni kuhakisha unapata cha asubuhi kwa mkeo na umweleze madhara ya wewe kutopata basi! Ashukuriwe mungu kwa kukushushia neema!
Sam furahi ila angalia hizo story zako unaweza kuitiwa msiba muda wowote.
Hao mascretary wana waume zao na watoto pia. Kwa hiyo mwaga data lakini bakiza kidogo kidogo. Puliza kizenj kizenj ili walau baadhi ya wenye mali waendelee kuishi kwa matumaini. Hata hivyo, wapo wenye wake ambao siyo mascretary nao wanalizwa kwa sana. Na pia wababa ambao siyo maboss lakini wanawasha moto utadhani wanakimbia mbio za vijiti. Hakuna kanuni mkuu. Kwa hiyo hata kama ni kucheka basi tucheke kichini chini kwani hatuna immunity, tunaweza kuwa wahanga wakati wowote!
Kuna mama mmoja jirani alikuwa anakwenda masomoni Belgium, alichofanya alimfukuza kaz h/girl aliyekuwa mbaya mbaya, akaleta chuma cha toto akakiacha na mumewe. Kabla hajaondoka alimpa h/girl somo refu kuwa usikubali 'mtu' akudanganye mfanye mpnz bila kutumia condom. Wife wangu alikuja kumdadisi kwann alifanya vile akampa jibu fupi tu 'ili baba awe anarudi nyumbani mapema watoto wasiwe wapweke sana'!!!!!
wakati huo huo mabosi wengine wanataka kupindua bosi wake huyo secreto... basi ni kupandisha madau tu.. secretari ana benzi... mtaalamu waja na job na Footsubishi!!:smile:!!!