Wewe hata Uefa nina wasiwasi hufuatilii Juve hajawahi kuwa na kiwango cha mashaka Uefa takribani misimu mitano sasaLigi yenyewe msimu wa saba ni wao tuu.. sasa kuna ligi hapo?? uefa itaongea.. maana huko mnakulaga vipigo daily...
wachezaji wengi juve wanajua kushambulia ila mnajisahau kidogo tuu apo katikati.. kuja kushtuka. mshagongwa..
Juve Uefa inawahusu msimu huu wanaobisha tutakutana hapaMkuu mie ni shabiki wa CR7 na sio juve. Nimeanza fatilia serie A sababu ya CR7 tu.Timu nnazozipenda ni R. Madrid na man u.
UEFA napo wanaweza toboa maana msimu huu wapo juu kiu ya ushindi
Mechi 8 ana goli 4. Ni mbaya hio?Walikuwa wanategemeana, Kwani Ronaldo ametupia mangapi mpaka sasa huko Juve!!? Hali mbaya kwa Madrid, Hali mbaya kwa Ronaldo
Cr7 na umaarufu wake wote anakumbwa na kashfa ya ubakaji..??Umetumwa?
msenge kweli wewe kila ndani ya hiyo misimu mitano uefa kachukua?? kapoteza final mbili.. ni sawa chizi kwenda umbali mrefu halafu anarudi na makopo...Wewe hata Uefa nina wasiwasi hufuatilii Juve hajawahi kuwa na kiwango cha mashaka Uefa takribani misimu mitano sasa
time will tellMkuu mie ni shabiki wa CR7 na sio juve. Nimeanza fatilia serie A sababu ya CR7 tu.Timu nnazozipenda ni R. Madrid na man u.
UEFA napo wanaweza toboa maana msimu huu wapo juu kiu ya ushindi
Walikuwa wanategemeana, Kwani Ronaldo ametupia mangapi mpaka sasa huko Juve!!? Hali mbaya kwa Madrid, Hali mbaya kwa Ronaldo
Juve ana magoli na assist za kutosha. Kwa sasa madrid inahitaji usajili wa maana baada ya hapo timu itakaa poa sana.
Ameshafunga goli 4 na ametoa assist goli 4...amekua na trend nzuri ya assist kuliko misimu yote aliyocheza madrid mpk kufikia mechi 8 za mwanzo wa ligi
Mechi 8 ana goli 4. Ni mbaya hio?
wanahitaji kocha na Perez atimuliwe pia. Zidane amecheza bila Ronaldo na ameshinda mechi vizuri tu. Lile zee muda wake umepita.Juve ana magoli na assist za kutosha. Kwa sasa madrid inahitaji usajili wa maana baada ya hapo timu itakaa poa sana.
Perez ameota mapembe sana kwa uwezo mzuri wa mawasiliano baina ya wachezaji na zidanewanahitaji kocha na Perez atimuliwe pia. Zidane amecheza bila Ronaldo na ameshinda mechi vizuri tu. Lile zee muda wake umepita.
Unapobadili mazingira ya uchezaji inaweza kukufany ufanye vzr au vibaya na hii sasa ndo inatokea kwa ronaldo,ko inamfanya ajaribu kutafuta namna ya kuzoea na kufanya vizuri zaid.Hivi kuwa na goli 4 baada ya mechi nane ni jambo la kusifiwa? hao mnaowaponda Benzema na Bale wote pia wa magoli manne manne kila mmoja.
Leo Messi tayari ana 10
Unapobadili mazingira ya uchezaji inaweza kukufany ufanye vzr au vibaya na hii sasa ndo inatokea kwa ronaldo,ko inamfanya ajaribu kutafuta namna ya kuzoea na kufanya vizuri zaid.
Na pia uzingatie wachezaj waliokua wakimzunguka Madrid ni tofaut kbs na waliopo juve.
Swala la messi kuwa na goli 10 nadhan halina tija yoyote hapa maan hakuna alieizungumzia barca
Swali hapa Messi yupo ligi ngeni na la liga msimu huu?Hayo magoli ma4 ndio yanatosha? kwani Benzema na Bale wana mangapi wao
Hivi kuwa na goli 4 baada ya mechi nane ni jambo la kusifiwa? hao mnaowaponda Benzema na Bale wote pia wa magoli manne manne kila mmoja.
Leo Messi tayari ana 10
Benzema na bale msimu huu wapo ligi ngeni na ile ya msimu uliopita?na je timu yao ina ushindi mfululizo kama ronaldo? Na kwann unawashindanisha watu wawili kwa mmoja?
Swali hapa Messi yupo ligi ngeni na la liga msimu huu?
Daah yaani umempambanisha ronaldo na watu watatu kweli CR7 ni jeshi la mtu mmoja
Kuna dogo ndani ya seria A tayari ana zaidi ya goli 10.
Messi tayari ana goli 10
Ronaldo ana vigoli vi4 halafu munatusifia anafanya vizuri.
Huyo dogo hana jina? Na je UEFA kabeba makombe mangapi? Na kabla ya kuchezea serie A huyo dogo kabeba kombe gani la ligi ya ndani?EPL,La liga,etc? Nae ana miaka 33?
Messi msimu huu kahamia ligi gani ngeni?Messi huyu huyu kakiri la liga bila ronaldo hainogi.
Watu wana maneno sana wakati Ronaldo yupo Real Madrid akifunga magoli 40+ kwa msimu kuna baadhi wakaanza maneno eti Ronaldo anabebwa na kina Benzema kwani wanalazimika kumpasia yeye tu ili afunge huku wao wakibaki watoa assist tu
Sasa Ronaldo kaondoka R.Madrid Benzema na wenzake wana uhuru wa kufunga kila nafasi wanayoipata kwani Ronaldo hayupo tena lakini tofauti na matarajio ya wengi Benzema na wenzake wameendelea kuwa butu huku timu ikishindwa kufunga goli lolote katika michezo takribani minne sasa.
Je ni kweli Ronaldo ndio alikuwa anawabania?