Eti walikuwa wanazibiwa na Ronaldo?

Kwa ufupi kiwango cha soka duniani kimeshuka mno na hii inatokana na kuwekeza fedha kwa mabishoo badala ya wenye talanta.
Halafu unajua we mzee unazeeka vibaya sana
 
Mtu kama Neymar Jr ni uwekezaji mbaya kuwahi tokea tangu kuumbwa kwa misingi ya soka duniani.
Walikuwako zaidi ya Neymar mara 50 lakini uwekazaji wao haukufikia hvyo.. Leo mtoto mdgo anateleza.. Naona pesa zinataka kuufanya mpira upendwe pia uchukuliwe poa tu!
 
unaanza kujiuma mwenyewe... wewe mwenyewe ndo umetaja misimu mitano... ouk.. 2012...chelsea alichukua..
2013..bayern akachukua..
2014..Madrid..
2015...Barcelona..
2016..Madrid..
2017..Madrid
2018..madrid..
acha kujiuma wewe.. kujifanya mtabiri. muda ni hakimu mzuri..
 
Walikuwako zaidi ya Neymar mara 50 lakini uwekazaji wao haukufikia hvyo.. Leo mtoto mdgo anateleza.. Naona pesa zinataka kuufanya mpira upendwe pia uchukuliwe poa tu!
Nafikiri hujaelewa mada au bandiko langu. Samahani kwa hilo mkuu
 
Nafikiri hujaelewa mada au bandiko langu. Samahani kwa hilo mkuu
Nimekuelewa sana nini umemaanisha mkuu ila wewe haujanielewa ila nadhani tupo upande mmoja.

Ni hvi.. Ni kweli uwekezaji wa neymar jq ni mbaya sana kulinganisha na uchezaji wake, nimesema pia walikuwako wachezaji wazuri zaidi ya neymar kipindi cha nyuma kwa kumzidi uwezo hata mara 50 lakini hawakupata uwekezaji wao kama huu ambao neymar kaupata wakati kiwango chake ni kidogo sana, ukimlinganisha na Beckham, Figo, De lima, zidane nk, hawa hawakupata huo uwekezaji wa kupata pesa hzo. Kwahyo mpira wa sasa pesa ndyo zinaufanya upendwe na uchukuliwe poa kulingana na kipindi cha nyuma.
 
Mimi naona mnashindwa kuelewa wakati hela za usajili zinapanda kila mwaka kumbuka hata ho uliowataja baadhi wamewahi kuvunja rekodi za usajili kwa wakati wao
 
Real inahitaji usajili kama watu watatu au wanne wa nguvu.. Timu imechoka sababu ina watu walewale.. Mfano modric,kroos,benzema,marcelo, ramos.. ni watu ambao wanapaswa kupumzika wametumika sana na umri umeenda kama modric, ramos na marcelo..
Kwa ujumla pengo la cr7 linaonekana timu inapata ushindi kwa shida na magoli machache mno.
Kuna haja ya kumleta Kane au Mauro Icardi pale mbele, Mbappe au Hazard pembeni, Eriksen na Kante pale kati, na nyuma walete beki.
 
Mkuu si uangalie rating zao hapo

Rating za magazeti hazireflect kabisa performance, nazifahamu karibu miaka 15 nimekuwa nikizifatalia. zipo kishabik zaidi Na ndio tatizo kubwa la washabiki wa mipira wa sasa wamekuwa wakifata refrence ambazo ni bogas kabisa. kaamwenyewe kwene TV tizama Mpira utamjua nani kacheza vizuri na kacheza vibaya. Usitizame rating za media halafu ukatoa kauli.
 
Uzuri Ronaldo timu yake haijapoteza mchezo wowote ule katika ligi hata suluhu hajapata Juve

Kuwa Juve haijapoteza mchezo ni jambo la ajabu mkuu? umeifatilia vizuri Ligi Italia kwa miaka ya karibuni? hata asingekuemo Ronaldo Juventus ni bingwa Italy kwa zaidi ya point 90 kila mwaka.
 
Ligi ina mechi 38 Ronaldo ndio kwanza anaizoea ligi ya Italia nakuhakikishia katika michuano yote msimu huu goli 40+ ni kama kawaida na assist kibao

NAmie nakuhakikishia hafiki goli 40.
 

Kwaiyo saivi ushindani umekua wa rating na sio magoli tena?
Sijawah kumbuka washabiki wa ronaldo kuleta rating.tumewabumia safari hii baada ya ukame wa magoli kumkuta.
Piatek amefunga magoli mechi zaote 8 alizocheza msimu huu, Amefunga mechi 7 mfululizo ndani ya SeriaAtayari ameifikia record ya Batistuta ya kufunga mfululizo na kubwa zaidi timu anyocheza mbovu kabisa. Bado hamuoni jamani duh !!!!!!!!!!!!
 

Kwani mwaka jana wakati yupo Ronaldo timu ilikua inapata ushindi mkubwa?
ISco, Marcello, CArvajal wote ni injuries na wote ni wachezaji muhimu sana kwenye timu, ukosekananji wao unaiathiri sana timu na timu imeanza kupoteza michezo baada wao kuwa hawapo.

Real madrid wana kikosi kizuri, Panahitajika ni uvumilivu mdogo tu wa wachezaji kuzoea mfumo mpya ulioletwa na kocha.
Kiusajili REal wanahitaji beki ya kushoto to wa kumleave marcello , mana tayari mzee umri umeshakwenda na bado hawahana hata sub nzuri yake.
 
Kwani miaka yote ronaldo anayochukua uchezaji bora wa dunia mfungaji bora anakuwa yeye? Magoli ni point muhimu lakini magoli tupu hayatoshi.

Harry kane mwaka jana alifikisha magoli 50 (calender year) alimzidi ronaldo, je aliingia hata tatu bora ya uchezaji bora duniani? Mwaka juzi ibrahimovic pia alifikisha goli 50 naye alikuwepo hata tatu bora?
 

Hoja zenu huwa magoli na makombe. (utafikiri alicheza pekeake uwanjani)
 
Hoja zenu huwa magoli na makombe. (utafikiri alicheza pekeake uwanjani)

Christiano pia ndio anaongoza kwa assist Uefa toka mashindano yaanzishwe mambo hayo anafanya toka hajaenda juve.

Na makombe pia yeye ni chachu, jamaa ni winner, akicheza vibaya inamuuma, timu ikifungwa inamuuma anataka muda wote ashinde ndio maana kila anapokwenda na vikombe vinamfuata.

Man U alipochukua Uefa na makombe ya ligi mfulululizo mchango mkubwa alitoa yeye,

Same madrid mara zote wanachukua Uefa mchango mkubwa ni kwake.

Na ameenda juve sasa hivi kila mtu anamuangalie yeye atafanya nini Uefa.

Portugal wanachukua kombe la ulaya Ronaldo alifunga goli 3 tu, ila aliongoza kwa assist na overall gameplay yake ilikuwa nzuri, aliwafanya average players waonekane wazuri.

Kama kijiweni kwenu mnabishana kwamba ronaldo ni magoli tu, humu tunajua ni zaidi ya hayo jamaa ana vitu vingi vya ziada.
 


Acha kuropokwa, usichekeshe kwa kutwambia Ronaldo ndie alie inspire Portugal kuwa bingwa. Pepe ndie aliekua mchezaji bora wa mashindano vuta kumbukumbu.

Van der Sir, Rooney, Tevez, Vidic, Evra, Park, Schools, Rio hawa wote walikua washindikizaji sio?
 
Unataka kusema ushindi inaopata real kwa sasa ni zaid ya ronaldo pindi yupo au?... Sina maana eti real bila cr7 haishind no.. Ila kama nilivyosema wanahitaji usajil, wachezaji wao wamecheza game nyingi bila kupumzika.
Hata uefa dhidi ya liverpool walibeba sawa lkn LA LIGA hawakuwa vzr sana.. awemo isco, marcelo lkn wanahitaji kubust kikosi.. Casemiro sio yule wa mwaka juz amekata upepo.. Labda ubishe tu kwa kuwa unaweza kubisha.
 

Sikubaliani naweye. Real wamekua katika timu yenye kikosi bora kabasi Ulaya kwa miaka ya karibuni .Kroos ndie Best player ndani ya Germany,Modric ndie best player croatia, ISco na Assensio, Ramos ndio best players ndani ya Spain, Marcello wanasema ndio best left back in the world, mbali hao kina Bale, Ronaldo, Casamiro, varane, carvajal, mkuu bado kikosi hicho dhaifu? hebu nitajie iyo timu yenye kikosi imara zaidi.
 
Ndugu watakuchosha mashabiki wa messi ambae hajaipa chochote argentina... wanakataa ronaldo hakutoa mchango wowote portgal kubeba euro,
 
Acha kuropokwa, usichekeshe kwa kutwambia Ronaldo ndie alie inspire Portugal kuwa bingwa. Pepe ndie aliekua mchezaji bora wa mashindano vuta kumbukumbu.
Hapana wewe ndie uvute vizuri kumbukumbu mchezaji bora wa michuano alikuwa Antoine griezman, pepe alikuwa beki bora wa michuano tu.

Ronaldo alishinda silver boot nyuma ya Griezman na akamzawadia hicho kiatu louis Nani.


Pia Ronaldo kati ya mechi 6 walizocheza amekuwa man of the match mechi 2,compare na moja ya pepe.

Kuanzia mechi ya mwisho ya makundi mpaka nusu fainali magoli karibia yote ya portugal yalitokana na ronaldo, ukitaka na ushahidi wa video nitakuekea.

Van der Sir, Rooney, Tevez, Vidic, Evra, Park, Schools, Rio hawa wote walikua washindikizaji sio?

Baada ya Ronaldo kuondoka walishinda Uefa ngapi hao wachezaji? Katika kiwango chake ronaldo anaanza kujulikana amecheza Uefa 3 na aliofanya vibaya sana ni nusu fainali aliishia vc Ac milan bora ya kina kaka,

Iliobakia akaingia fainali mbili mfululizo.

Baada ya hapo 2008, man u haikuchukua Tena Uefa hadi leo, na ukitoa fainali moja ya 2011 mara nyengine man u iliishia tu makundi ama hatua za mwanzo za mtoano hao uliowataja ukitoa tevez wakiwemo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…