Tofauti ni kwamba Benzema ana magoli manne lakini timu yake haiongozi ligi na ina matokeo mabovu ligi na uefa
Hayo matokeo mabovu hayajaanza leo. Kwani mwaka jana kipindi kama hichi Real ikiwa na Ronaldo ndani yake ilikuwa ipo kwenye mazingira gani labada ungelitwambia.