Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
Hicho kikosi bora si kipo pamoja sasa hivi? Mbona mechi 4 hawajafunga goli hata moja?Sikubaliani naweye. Real wamekua katika timu yenye kikosi bora kabasi Ulaya kwa miaka ya karibuni .Kroos ndie Best player ndani ya Germany,Modric ndie best player croatia, ISco na Assensio, Ramos ndio best players ndani ya Spain, Marcello wanasema ndio best left back in the world, mbali hao kina Bale, Ronaldo, Casamiro, varane, carvajal, mkuu bado kikosi hicho dhaifu? hebu nitajie iyo timu yenye kikosi imara zaidi.
Piatek wa GENOA... Sasa kufunga goli 8 ndio atamaliza juu ya ronaldo?... Ronaldo ana 33 age yake lkn huwezi kumlenk na hao watoto, moto wake ni hatari.Kwaiyo saivi ushindani umekua wa rating na sio magoli tena?
Sijawah kumbuka washabiki wa ronaldo kuleta rating.tumewabumia safari hii baada ya ukame wa magoli kumkuta.
Piatek amefunga magoli mechi zaote 8 alizocheza msimu huu, Amefunga mechi 7 mfululizo ndani ya SeriaAtayari ameifikia record ya Batistuta ya kufunga mfululizo na kubwa zaidi timu anyocheza mbovu kabisa. Bado hamuoni jamani duh !!!!!!!!!!!!
Hapana wewe ndie uvute vizuri kumbukumbu mchezaji bora wa michuano alikuwa Antoine griezman, pepe alikuwa beki bora wa michuano tu.
Ronaldo alishinda silver boot nyuma ya Griezman na akamzawadia hicho kiatu louis Nani.
Pia Ronaldo kati ya mechi 6 walizocheza amekuwa man of the match mechi 2,compare na moja ya pepe.
Kuanzia mechi ya mwisho ya makundi mpaka nusu fainali magoli karibia yote ya portugal yalitokana na ronaldo, ukitaka na ushahidi wa video nitakuekea.
Baada ya Ronaldo kuondoka walishinda Uefa ngapi hao wachezaji? Katika kiwango chake ronaldo anaanza kujulikana amecheza Uefa 3 na aliofanya vibaya sana ni nusu fainali aliishia vc Ac milan bora ya kina kaka,
Iliobakia akaingia fainali mbili mfululizo.
Hicho kikosi bora si kipo pamoja sasa hivi? Mbona mechi 4 hawajafunga goli hata moja?
Hapana wewe ndie uvute vizuri kumbukumbu mchezaji bora wa michuano alikuwa Antoine griezman, pepe alikuwa beki bora wa michuano tu.
Ronaldo alishinda silver boot nyuma ya Griezman na akamzawadia hicho kiatu louis Nani.
Pia Ronaldo kati ya mechi 6 walizocheza amekuwa man of the match mechi 2,compare na moja ya pepe.
Kuanzia mechi ya mwisho ya makundi mpaka nusu fainali magoli karibia yote ya portugal yalitokana na ronaldo, ukitaka na ushahidi wa video nitakuekea.
Baada ya Ronaldo kuondoka walishinda Uefa ngapi hao wachezaji? Katika kiwango chake ronaldo anaanza kujulikana amecheza Uefa 3 na aliofanya vibaya sana ni nusu fainali aliishia vc Ac milan bora ya kina kaka,
Iliobakia akaingia fainali mbili mfululizo.
Baada ya hapo 2008, man u haikuchukua Tena Uefa hadi leo, na ukitoa fainali moja ya 2011 mara nyengine man u iliishia tu makundi ama hatua za mwanzo za mtoano hao uliowataja ukitoa tevez wakiwemo.
Sikatai real kuwa na kikosi bora toka msimu jana kurudi nyuma... ila kwa sasa wamechoka!." mbona huelewi? Mtu kama modric ni 30+, ramos 30+, marcelo 30+, benzema 30+ na simaanishi umri tu hata perfomance yao imeshuka.Sikubaliani naweye. Real wamekua katika timu yenye kikosi bora kabasi Ulaya kwa miaka ya karibuni .Kroos ndie Best player ndani ya Germany,Modric ndie best player croatia, ISco na Assensio, Ramos ndio best players ndani ya Spain, Marcello wanasema ndio best left back in the world, mbali hao kina Bale, Ronaldo, Casamiro, varane, carvajal, mkuu bado kikosi hicho dhaifu? hebu nitajie iyo timu yenye kikosi imara zaidi.
Sio kucheza fainal ni hivi walichukua Uefa tena? Fainali hata liver juzi tu kachezaMan utd walicheza 2011 champion league final kama huna kumbukumbu, tatizo la Man utd wamepoteza ubora baada ya kuondoka kwa Ferguson.
Mkuu internet ipo , timzama tena vizuri nani alkua mchzeaji bora wa Euro 2016, Graizman alikua ni mfungaji bora tu nasi mchezaji bora.
Sikatai real kuwa na kikosi bora toka msimu jana kurudi nyuma... ila kwa sasa wamechoka!." mbona huelewi? Mtu kama modric ni 30+, ramos 30+, marcelo 30+, benzema 30+ na simaanishi umri tu hata perfomance yao imeshuka.
Kroos, casemiro pia wanahitaji watu wa kuwasaidia jamaa wametumika sana ukiongeza na kocha mpya bila usajil ndio basi tena.
Hao jamaa wana uefa 3 mfululizo unafikir watabaki kwenye ubora ule ule?
Kuhusu timu imara kwa sasa ni Juve.. hata bila ronaldo Juve ni moto kaka.
Sio kucheza fainal ni hivi walichukua Uefa tena? Fainali hata liver juzi tu kacheza
Nimesema kwenye comment yangu kuhusu hio 2011.Man utd walicheza 2011 champion league final kama huna kumbukumbu, tatizo la Man utd wamepoteza ubora baada ya kuondoka kwa Ferguson.
Mkuu internet ipo , timzama tena vizuri nani alkua mchzeaji bora wa Euro 2016, Graizman alikua ni mfungaji bora tu nasi mchezaji bora.
Sikatai real kuwa na kikosi bora toka msimu jana kurudi nyuma... ila kwa sasa wamechoka!." mbona huelewi? Mtu kama modric ni 30+, ramos 30+, marcelo 30+, benzema 30+ na simaanishi umri tu hata perfomance yao imeshuka.
Kroos, casemiro pia wanahitaji watu wa kuwasaidia jamaa wametumika sana ukiongeza na kocha mpya bila usajil ndio basi tena.
Hao jamaa wana uefa 3 mfululizo unafikir watabaki kwenye ubora ule ule?
Kuhusu timu imara kwa sasa ni Juve.. hata bila ronaldo Juve ni moto kaka.
Goli 4 assist 7 michezo 7 ni chache mkuu. Kuwa seriuos aise..Bilashaka hufatilii ligi ya Italy wala humfatilii Cr7. Kwa taarifa yako Ronaldo ana struggle mno na mpaka sasa ana magoli na assist chache sana.
Hajasema kufungwa kauliza mbona mechi nne mpaka sasa hawana goli hata moja?
Goli 4 assist 7 michezo 7 ni chache mkuu. Kuwa seriuos aise..
Tofauti ni kwamba Benzema ana magoli manne lakini timu yake haiongozi ligi na ina matokeo mabovu ligi na uefaSababu zinajulikana.
Sote tunajua kwa moto wa Ronaldo sio mchezaji wa kuwa na magoli manne mpaka sahizi!!
Sote tunajua Real madrid wamebadili kocha aliyekuja na mifumo na itikadi nyingine ila pamoja na hayo Benzema ana goli 4 mpaka sahizi la liga sawa na Ronaldo tuu huko juve kwahiyo sioni hoja yenu ikiwa na mashiko
Unaonekanwa hukioni wanachokifanya Real mkuu. Isco na Ceballos wameandaliwa na wanachukua nafasi pale kwa Modric na bale, Assensio amechukua nafasi ya Ronaldo. Revolution gani unayotaka tena? au mlitaka Ronaldo acheze mpaka mpira umshinde pale aanze kufungisha timu tena kama anavofanya ribery buyern? Varane alikuja kwa Pepe. club inayo program zake kabisa sijui nyinyi tatizo lenu ni nini. pana madogo wawili wapya Diaz na mwengine kinda wa kibrazil vinisius tayari wametua na talent zao wapo kwenye kuboreshwa. kuna beki wakulia na wakushoto wapya pia wamesajiliwa au wote hujawaona hao?
Tataizo lenu nyinyi mnataka musikie timu imesajali mchezaji milion 200 ndio mtahisi timu ndio inajengwa. PSG wametumia 400 kwa Mbape na Neymar bado mpaka saivi hakuna matunda. BArca ya pep hakukuwa na big transfers za ovyo kama mnavota waliandaa vijana kitaratibu tu na wamefanikiwa.
Unaonekanwa hukioni wanachokifanya Real mkuu. Isco na Ceballos wameandaliwa na wanachukua nafasi pale kwa Modric na bale, Assensio amechukua nafasi ya Ronaldo. Revolution gani unayotaka tena? au mlitaka Ronaldo acheze mpaka mpira umshinde pale aanze kufungisha timu tena kama anavofanya ribery buyern? Varane alikuja kwa Pepe. club inayo program zake kabisa sijui nyinyi tatizo lenu ni nini. pana madogo wawili wapya Diaz na mwengine kinda wa kibrazil vinisius tayari wametua na talent zao wapo kwenye kuboreshwa. kuna beki wakulia na wakushoto wapya pia wamesajiliwa au wote hujawaona hao?
Tataizo lenu nyinyi mnataka musikie timu imesajali mchezaji milion 200 ndio mtahisi timu ndio inajengwa. PSG wametumia 400 kwa Mbape na Neymar bado mpaka saivi hakuna matunda. BArca ya pep hakukuwa na big transfers za ovyo kama mnavota waliandaa vijana kitaratibu tu na wamefanikiwa. Pedro, Bisquit, Xavi,Iniesta, Messi, Pique, Valdes.