Wanajamii mpo? Wameniozesha Dada wa mchumba niliemchaguwa!
Baada ya kukaidi wazee na kuowa mwanamke ambaye walihisi hakutulia,nilimfumania na bwana mwengine hivyo tukaachana. Kwa kufuata ushauri wa wazee nilielekea kijijini kutafuta mchumba na nikamuona msichana mzuri tu na kuamuwa kumchumbia.
Si unajuwa uchumba wa vijijini tena sikuwahi kukutana kisasa na mchumba wangu bali mipango ya harusi iliendelea. Siku ya harusi pia ni ya kijijiji nayo ilikuwa usiku na kuchukua mke. Naam wanajamii mambo yalikuwa mazuri kwani nilifunguwa kitu na boksi yake mimi mwenyewe.
Kuamka asubuhi ndio mtando ule wa kiarusi uliponitoka na kubaini kuwa mke wangu sie yule niliemchumbia badala yake alikuwa ni dada yake.
Wenzangu bila shaka nilifanya uamuzi lakini sijui ingekufikeni nyie mgekuwa na uamuzi gani?
Baada ya kukaidi wazee na kuowa mwanamke ambaye walihisi hakutulia,nilimfumania na bwana mwengine hivyo tukaachana. Kwa kufuata ushauri wa wazee nilielekea kijijini kutafuta mchumba na nikamuona msichana mzuri tu na kuamuwa kumchumbia.
Si unajuwa uchumba wa vijijini tena sikuwahi kukutana kisasa na mchumba wangu bali mipango ya harusi iliendelea. Siku ya harusi pia ni ya kijijiji nayo ilikuwa usiku na kuchukua mke. Naam wanajamii mambo yalikuwa mazuri kwani nilifunguwa kitu na boksi yake mimi mwenyewe.
Kuamka asubuhi ndio mtando ule wa kiarusi uliponitoka na kubaini kuwa mke wangu sie yule niliemchumbia badala yake alikuwa ni dada yake.
Wenzangu bila shaka nilifanya uamuzi lakini sijui ingekufikeni nyie mgekuwa na uamuzi gani?