Trinity
JF-Expert Member
- Jul 20, 2017
- 1,828
- 3,508
Na wewe mteme biti kali, mwambie ole wako wanangu wapate tatizo lolote lile hata mafua tu.!Ndugu zangu za usiku huu nimekosa usingizi,kisa watoto wangu na dada wakazi wamekula kichani cha ndizi kilichodondoka juu ya bati letu.
Kisa kilianza hivi kuna mmama mmoja nilitoka kumwambia ndizi zake ache kulemezea kwangu akakataa, sasa kuna ndizi moja ililemea ukuta