Na wewe mteme biti kali, mwambie ole wako wanangu wapate tatizo lolote lile hata mafua tu.!Ndugu zangu za usiku huu nimekosa usingizi,kisa watoto wangu na dada wakazi wamekula kichani cha ndizi kilichodondoka juu ya bati letu.
Kisa kilianza hivi kuna mmama mmoja nilitoka kumwambia ndizi zake ache kulemezea kwangu akakataa, sasa kuna ndizi moja ililemea ukuta
Unamnyamazisha tu kwa maneno ya kujishusha na wewe, sa kama sio mtu mzuri na apo kosa linaonekana ndizi yake imekatwa unataka ushindane naye? Ujirani hauko ivo kuna wengine wanapenda chokochoko ila ukishawajua na namna ya kwenda nao baadaye wanabadilika na wanakuwa na adabu Ila ukipenda ligi mbona utajitesa na mikesi ya kila siku nduguHuyu mama sio mtu mzuri tokea nihamie anavisa vingi .
1.tumehamia nyumba yetu
Wamepata ila sikukaa kimya
Hapana huyu mama anavisaa ukimwomba atakupanda kichwani tena na mpangoo wakumpelekea moto hadi basi nitawapa mrejesho.Omba radhi uachane nayo
Wewe hujui huku eh ukimpa msimbazii ndio hamli tena nyama .1. Wanao ni wezi
2. Huyo bibi sio mchawi ila ana njaa tu na wivu unamsumbua. Mchawi wa kweli huwa hasemi, ungeona tu vitumbo vya wanao vinavimba.
3. Kwa kuwa umemkosea omba msamaha, mpe hata msimbazi tu atakuwa mpole.
Mie mfipa na mmasai ukiwachezea hawa umechezea motooo.Nawewe unatita vizuri ee
Aliambiwa na balozi na nilimtumia mwenyekiti na nilimtumia kitu ingine ikaaenda kumsalimiaNa wewe mteme biti kali, mwambie ole wako wanangu wapate tatizo lolote lile hata mafua tu.!
Usiseme hivyo tena ukiwa na watotoSijawahi ogopa uchawi
Niko machimboni mauchawi nayaona daily hivyo ndo maana nasema siuogopiUsiseme hivyo tena ukiwa na watoto
Haya mambo ya waarusha haya.Ndugu zangu za usiku huu nimekosa usingizi, kisa watoto wangu na dada wakazi wamekula kichani cha ndizi kilichodondoka juu ya bati letu.
Kisa kilianza hivi kuna mmama mmoja nilitoka kumwambia ndizi zake ache kulemezea kwangu akakataa, sasa kuna ndizi moja ililemea ukuta
Mie mwenyewe mwarushaHaya mambo ya waarusha haya.
Hongera siku hizi unaandika vizuri sana
Mnapendaga kesi sana tena ndogondogoMie mwenyewe mwarusha
Nimekuwa mama
Acha tuMnapendaga kesi sana tena ndogondogo
Au sio dawa ya moto ni moto. Mtishie mwambie kwenu umeaga mtoto asipopata choo utahakisha yeye hapati choo kidogo.Hapana huyu mama anavisaa ukimwomba atakupanda kichwani tena na mpangoo wakumpelekea moto hadi basi nitawapa mrejesho.
Wale huwaezi hata uwape nini lazima wakipewa mahali kitu wanakula hawakosi kitu ningeshamsema baba yao humu .Au sio dawa ya moto ni moto. Mtishie mwambie kwenu umeaga mtoto asipopata choo utahakisha yeye hapati choo kidogo.
Ila katoto kazuri watoto wako na dada wa kazi wanakula kichane cha ndizi? Hukuwa umewapikia chakula?
hahahaa mwishoni umearibuAu sio dawa ya moto ni moto. Mtishie mwambie kwenu umeaga mtoto asipopata choo utahakisha yeye hapati choo kidogo.
Ila katoto kazuri watoto wako na dada wa kazi wanakula kichane cha ndizi? Hukuwa umewapikia chakula?
Duniani hatuishi hivyo, kuna leo na kesho; tumia busara nyingi kumaliza migogoro....lasivyo mkiwekeana chuki,hata kutembea usiku peke yako utaogopaHapana huyu mama anavisaa ukimwomba atakupanda kichwani tena na mpangoo wakumpelekea moto hadi basi nitawapa mrejesho.
Ndioo humjui kaanzia wapi tumehamia tu akaanza kukata ndizi nazinadondokea kwenye paa la nyumba yetu yaani unamkuta mtu hana haya anaamka saa moja watu wamelala anakata ndizi inadondokea kwenye paa tunaamka tunakuta ndizi imepasua sahani na vikombe huko nyuma imedondoka pah baada ya kuamsha watu.Duniani hatuishi hivyo, kuna leo na kesho; tumia busara nyingi kumaliza migogoro....lasivyo mkiwekeana chuki,hata kutembea usiku peke yako utaogopa