Eti watoto wangu watakuwa wamefanya makosa?

Weka fensi Mkuu
 
jenga fensi kuepuka uswahili huo, hizo ndizi bei gani mpaka atishie amani ya watoto
Tumejenga ukuta mrefu tu ila ndizi zinaangukia kwetu akikata anataka tujenge mlima wa babeli.
Kwa maana ukuta upo ila yeye ndio hajaumalizia wake .
Tumuache tu leo kaja mwenyewe kuomba msamaha.
Alishatumiwa salamu hizo ooo .
Kajua mie nimedouble
 
Mie ningekata na ndizi nzima aache jinga jinga
 
Ni vizuri ukajishusha uongee naye uombe msamaha maisha yaendelee.
 
Mzee vya Mjinga huliwa na mwelevu. Hao watoto Bora wangeimaliza kabisa na ukawafatia na Juiche ya kushushia ya baridi.

Huo mkwala usiusikie. Moyoni imba Yesu ningome Yangu na wakovu wangu je? Nimwogope Nan? Mungu alikujua kabla ya mimba ya Mama yako hivyo mchawi hanajopya Mungu yupo anatosha huyo ni mwanadamu tu hanalolote , usiogope auaye mwili ogopa auaye Mwili na roho.👏
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…