Kisingizio ni marehemuMwaka 2016 wakati waziri wa habari na utamaduni wa wakati huo, Nape Nnauye akitoa sababu za kusitisha matangazo ya Bunge live, pamoja na gharama alisema watanzania wengi mchana wako maofisini na wengine wanajenga taifa hivyo wakaamua kutengeneza kupindi maalum usiku kuonesha 'Edited clips' za Bunge ili wapate fursa ya kuona.
Leo Bunge 'LIVE' limerejeshwa huku Waziri akiwa yuleyule na hoja za kusitishwa zikiwa bado hazijayeyuka. Tofauti sasa, mamlaka ya kulirudisha ikiwa tofauti.
JIONEE
Rais ashasema kipindi kile kulikuwa na nidham ya woga sababu ya SIMBA WA YUDA, sasa uzuri siku hizi mawaziri hawafanyi mambo kwa kumuogopa Rais ila wanatumia common sense.
Hii nchi ina viongozi wengi vilaza snMuulize tena inawezekana hajakusikia
Nalog off Z
Aliachia au alifukuzwa?Mbona alikuwa na free mind suala la Makonda na Clouds mpaka akakubali matokeo ya kuachia uwaziri.
Hao mawaziri wa kufanya mambo kwa common sense bila kumhofia Rais bado hawajazaliwa.Rais ashasema kipindi kile kulikuwa na nidham ya woga sababu ya SIMBA WA YUDA, sasa uzuri siku hizi mawaziri hawafanyi mambo kwa kumuogopa Rais ila wanatumia common sense.
A wapiNiliona alikuwa tayari kwa yale matokeo..
Mwaka 2016 wakati Waziri wa Habari na Utamaduni wa wakati huo, Nape Nnauye akitoa sababu za kusitisha matangazo ya Bunge live, pamoja na gharama alisema watanzania wengi mchana wako maofisini na wengine wanajenga taifa hivyo wakaamua kutengeneza kupindi maalum usiku kuonesha 'Edited clips' za Bunge ili wapate fursa ya kuona.
Leo Bunge 'LIVE' limerejeshwa na kamati ya Bunge huku Waziri akiwa yuleyule na hoja za kusitishwa zikiwa bado hazijayeyuka. Tofauti sasa, mamlaka ya kulirudisha inatoka mhimili tofauti. Katiba yetu bhana.
JIONEE
Bunge lenyewe la ccm tupu sidhani kama lina mvuto tena kama ulivyokuwa huko nyuma kabla ya yule Ibilisi kuja kuteuwa bunge analolitaka yeye.
Tuseme wazi tu, Magufuli hakutaka kabisa watanzania wajue ushenzi alioufanya despite ya fact that bunge alilizima kabisa.Mwaka 2016 wakati Waziri wa Habari na Utamaduni wa wakati huo, Nape Nnauye akitoa sababu za kusitisha matangazo ya Bunge live, pamoja na gharama alisema watanzania wengi mchana wako maofisini na wengine wanajenga taifa hivyo wakaamua kutengeneza kupindi maalum usiku kuonesha 'Edited clips' za Bunge ili wapate fursa ya kuona.
Leo Bunge 'LIVE' limerejeshwa na kamati ya Bunge huku Waziri akiwa yuleyule na hoja za kusitishwa zikiwa bado hazijayeyuka. Tofauti sasa, mamlaka ya kulirudisha inatoka mhimili tofauti. Katiba yetu bhana.
JIONEE
Mwaka 2016 wakati Waziri wa Habari na Utamaduni wa wakati huo, Nape Nnauye akitoa sababu za kusitisha matangazo ya Bunge live, pamoja na gharama alisema watanzania wengi mchana wako maofisini na wengine wanajenga taifa hivyo wakaamua kutengeneza kupindi maalum usiku kuonesha 'Edited clips' za Bunge ili wapate fursa ya kuona.
Leo Bunge 'LIVE' limerejeshwa na kamati ya Bunge huku Waziri akiwa yuleyule na hoja za kusitishwa zikiwa bado hazijayeyuka. Tofauti sasa, mamlaka ya kulirudisha inatoka mhimili tofauti. Katiba yetu bhana.
JIONEE
Bunge la kijani na Nape akiwa kijani halinogi.Mwaka 2016 wakati Waziri wa Habari na Utamaduni wa wakati huo, Nape Nnauye akitoa sababu za kusitisha matangazo ya Bunge live, pamoja na gharama alisema watanzania wengi mchana wako maofisini na wengine wanajenga taifa hivyo wakaamua kutengeneza kupindi maalum usiku kuonesha 'Edited clips' za Bunge ili wapate fursa ya kuona.
Leo Bunge 'LIVE' limerejeshwa na kamati ya Bunge huku Waziri akiwa yuleyule na hoja za kusitishwa zikiwa bado hazijayeyuka. Tofauti sasa, mamlaka ya kulirudisha inatoka mhimili tofauti. Katiba yetu bhana.
JIONEE
Ujinga wenu unawapeleka pabaya mbona hilo Bunge live limeanza siku za mwisho za mwendazake akiwa hai baada ya kupora uchaguzi Octoba 2020 wakati mama akiwa Makamu wa rais.Itachukua karne kumpata Rais kama huyu
Alikuwa free wapi si alitumbuliwa pamoja na upumbavu wake wa kuhujumu Bunge live.Mbona alikuwa na free mind suala la Makonda na Clouds mpaka akakubali matokeo ya kuachia uwaziri.