Eti Waziri Nape! Watanzania hawana shughuli za kufanya mpaka mnawarudishia Bunge 'Live'

Eti Waziri Nape! Watanzania hawana shughuli za kufanya mpaka mnawarudishia Bunge 'Live'

Mlitaka vijana wa kamera wale wapi? Kila 'mbunge' anataka aonekane ktk TV kwa bahasha.
 
Mwaka 2016 wakati Waziri wa Habari na Utamaduni wa wakati huo, Nape Nnauye akitoa sababu za kusitisha matangazo ya Bunge live, pamoja na gharama alisema watanzania wengi mchana wako maofisini na wengine wanajenga taifa hivyo wakaamua kutengeneza kupindi maalum usiku kuonesha 'Edited clips' za Bunge ili wapate fursa ya kuona.

Leo Bunge 'LIVE' limerejeshwa na kamati ya Bunge huku Waziri akiwa yuleyule na hoja za kusitishwa zikiwa bado hazijayeyuka. Tofauti sasa, mamlaka ya kulirudisha inatoka mhimili tofauti. Katiba yetu bhana.

JIONEE


bunge lenyewe la kufatilia liko wapi? Utopolo mtupu
 
Bunge lenyewe la ccm tupu sidhani kama lina mvuto tena kama ulivyokuwa huko nyuma kabla ya yule Ibilisi kuja kuteuwa bunge analolitaka yeye.
hakuna mtanzania mwenye akili atatazama
 
Rais ashasema kipindi kile kulikuwa na nidham ya woga sababu ya SIMBA WA YUDA, sasa uzuri siku hizi mawaziri hawafanyi mambo kwa kumuogopa Rais ila wanatumia common sense.
Kuna mmoja alihoji swala la serikali kukopa sijui ilikuwa kipindi cha simba wa yuda
 
Rais ashasema kipindi kile kulikuwa na nidham ya woga sababu ya SIMBA WA YUDA, sasa uzuri siku hizi mawaziri hawafanyi mambo kwa kumuogopa Rais ila wanatumia common sense.
Though common sense is not common to all especially viongozi na wanachama wa CCM.
 
Live ya bunge inanoga kama kuna upizani makini wakiibua hoja za msingi na kuikumbusha serikali nini cha kufanya miaka ya nyuma watu kama Slaa ,zito,mbowe,Lisu,na wengine wengi ilikuwa inatia shime kufuatilia
 
Back
Top Bottom