Eti Waziri Nape! Watanzania hawana shughuli za kufanya mpaka mnawarudishia Bunge 'Live'

Eti Waziri Nape! Watanzania hawana shughuli za kufanya mpaka mnawarudishia Bunge 'Live'

Mwaka 2016 wakati Waziri wa Habari na Utamaduni wa wakati huo, Nape Nnauye akitoa sababu za kusitisha matangazo ya Bunge live, pamoja na gharama alisema watanzania wengi mchana wako maofisini na wengine wanajenga taifa hivyo wakaamua kutengeneza kupindi maalum usiku kuonesha 'Edited clips' za Bunge ili wapate fursa ya kuona.

Leo Bunge 'LIVE' limerejeshwa na kamati ya Bunge huku Waziri akiwa yuleyule na hoja za kusitishwa zikiwa bado hazijayeyuka. Tofauti sasa, mamlaka ya kulirudisha inatoka mhimili tofauti. Katiba yetu bhana.

JIONEE



Anaye mlipa mpiga zumari ndiye huchagua wimbo gani uimbwe. Huyu mheshimiwa ni mpiga zumari tu hana namna.
 
Apedomia

1440x810_cmsv2_c932d4a7-9faa-5e81-bd4a-bc411fdf7a1c-3762916.jpg
 
Kipindi kile bungeni kulikua na watu wenye akili kina Msigwa, Lissu n.k hivyo CCM kwa sera zake uchwara waliona wanaweza kuvuliwa nguo hadharani ndio maana wakaamua kuleta kitu edited.
Sasa hivi bungeni Kuna watu Kama
Taletale
Kibajaj
Msukuma
Huyu mbunge wa kimemo Nani huyu mburudishaji, compromised mzee halima and co. Mawaziri wenyewe ni kina mchengerwa, Nauye, Makamba, kikwete n.k.
Kwanza hata likionyeshwa live kwa lilivyo dorora hata umpe mtu pesa hawezi kuangalia.
 
Bunge lenyewe la ccm tupu sidhani kama lina mvuto tena kama ulivyokuwa huko nyuma kabla ya yule Ibilisi kuja kuteuwa bunge analolitaka yeye.

Exactly, na wanadhani wakiweka bunge live labda ndio watapata mvuto. Mwanamke kama umemchoka na humtaki hata akikaa uchi haisimami. Hivyo wala wasijisumbue na bunge live maana hatuna mzuka nalo.
 
Mwaka 2016 wakati Waziri wa Habari na Utamaduni wa wakati huo, Nape Nnauye akitoa sababu za kusitisha matangazo ya Bunge live, pamoja na gharama alisema watanzania wengi mchana wako maofisini na wengine wanajenga taifa hivyo wakaamua kutengeneza kupindi maalum usiku kuonesha 'Edited clips' za Bunge ili wapate fursa ya kuona.

Leo Bunge 'LIVE' limerejeshwa na kamati ya Bunge huku Waziri akiwa yuleyule na hoja za kusitishwa zikiwa bado hazijayeyuka. Tofauti sasa, mamlaka ya kulirudisha inatoka mhimili tofauti. Katiba yetu bhana.

JIONEE


Uamuzi wa kusitisha matangazo ya bunge yalifanywa na UTAWALA WA AWAMU YA 5....Nape halaumiki.....

#Siempre JMT🙏
 
Exactly, na wanadhani wakiweka bunge live labda ndio watapata mvuto. Mwanamke kama umemchoka na humtaki hata akikaa uchi haisimami. Hivyo wala wasijisumbue na bunge live maana hatuna mzuka nalo.
Umejipa mamlaka ya kuwasemea watanzania milioni 60?!!!😳😳
 
Watanzania 60m wana TV za kuona bunge live? Ni hivi hakuna mtu anayejitambua ana muda wa kuangalia bunge la majizi ya kura.
Nihesabia hao wanaojitambua na unaowajua wewe wa nchi nzima hii ......
 
Mwaka 2016 wakati Waziri wa Habari na Utamaduni wa wakati huo, Nape Nnauye akitoa sababu za kusitisha matangazo ya Bunge live, pamoja na gharama alisema watanzania wengi mchana wako maofisini na wengine wanajenga taifa hivyo wakaamua kutengeneza kupindi maalum usiku kuonesha 'Edited clips' za Bunge ili wapate fursa ya kuona.

Leo Bunge 'LIVE' limerejeshwa na kamati ya Bunge huku Waziri akiwa yuleyule na hoja za kusitishwa zikiwa bado hazijayeyuka. Tofauti sasa, mamlaka ya kulirudisha inatoka mhimili tofauti. Katiba yetu bhana.

JIONEE

Wanataka Wajumbe wa Mkutano mkuu wa CCM waonekane
 
Mwaka 2016 wakati Waziri wa Habari na Utamaduni wa wakati huo, Nape Nnauye akitoa sababu za kusitisha matangazo ya Bunge live, pamoja na gharama alisema watanzania wengi mchana wako maofisini na wengine wanajenga taifa hivyo wakaamua kutengeneza kupindi maalum usiku kuonesha 'Edited clips' za Bunge ili wapate fursa ya kuona.

Leo Bunge 'LIVE' limerejeshwa na kamati ya Bunge huku Waziri akiwa yuleyule na hoja za kusitishwa zikiwa bado hazijayeyuka. Tofauti sasa, mamlaka ya kulirudisha inatoka mhimili tofauti. Katiba yetu bhana.

JIONEE

[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Hii nchi ni ya kusadikika kweli. Kichwa cha mwendawazimu.
Mwaka 2016 wakati Waziri wa Habari na Utamaduni wa wakati huo, Nape Nnauye akitoa sababu za kusitisha matangazo ya Bunge live, pamoja na gharama alisema watanzania wengi mchana wako maofisini na wengine wanajenga taifa hivyo wakaamua kutengeneza kupindi maalum usiku kuonesha 'Edited clips' za Bunge ili wapate fursa ya kuona.

Leo Bunge 'LIVE' limerejeshwa na kamati ya Bunge huku Waziri akiwa yuleyule na hoja za kusitishwa zikiwa bado hazijayeyuka. Tofauti sasa, mamlaka ya kulirudisha inatoka mhimili tofauti. Katiba yetu bhana.

JIONEE

 
Mwaka 2016 wakati Waziri wa Habari na Utamaduni wa wakati huo, Nape Nnauye akitoa sababu za kusitisha matangazo ya Bunge live, pamoja na gharama alisema watanzania wengi mchana wako maofisini na wengine wanajenga taifa hivyo wakaamua kutengeneza kupindi maalum usiku kuonesha 'Edited clips' za Bunge ili wapate fursa ya kuona.

Leo Bunge 'LIVE' limerejeshwa na kamati ya Bunge huku Waziri akiwa yuleyule na hoja za kusitishwa zikiwa bado hazijayeyuka. Tofauti sasa, mamlaka ya kulirudisha inatoka mhimili tofauti. Katiba yetu bhana.

JIONEE


Hapa duniani namuogopa Mungu na Technologia.
 
Labda baada ya uchaguzi mkuu wa 2025, nitaangalia. Ila kwa sasa huo muda sina.
 
Mbona alikuwa na free mind suala la Makonda na Clouds mpaka akakubali matokeo ya kuachia uwaziri.
Mkuu hukumuona alivyotembezwa kilometa tano chini ya jua kali ndani ya viunga vya magogoni huku akifuta kijasho chembamba kilichokuwa kinamtiririka kwenda kupiga magoti mbele ya simba wa yuda...
Hakika alidhalilishwa
 
Back
Top Bottom