Eti Wema mzuri zaidi kumzidi Zari?

Eti Wema mzuri zaidi kumzidi Zari?

Umesema kweli mkuu,ila mwenye maadili ya kiafrika asingeacha watt wake yy atafute raha huku bongo

Mnavyopenda hili neno maadili ya kiafrika/kitanzania.....kuna kina mama kibao uswazi wanawasotesha watoto wao mpaka watoto wanatamani Mama awe anashinda kwenye vigodoro.

Ratiba ya mama kwa siku.....akimaliza kuuza mihogo kwenye mataptap, kurudi usiku mnene akiwa na "mshikaji", mtoto ataitwa majna yote, kuanzia Ngedere, Kima mpaka Ndorobo....yaani fulu adhabu kwa watoto...nadhani tungewahurumia hawa na sio wale wa Zari.
 
Mnavyopenda hili neno maadili ya kiafrika/kitanzania.....kuna kina mama kibao uswazi wanawasotesha watoto wao mpaka watoto wanatamani Mama awe anashinda kwenye vigodoro.

Ratiba ya mama kwa siku.....akimaliza kuuza mihogo kwenye mataptap, kurudi usiku mnene akiwa na "mshikaji", mtoto ataitwa majna yote, kuanzia Ngedere, Kima mpaka Ndorobo....yaani fulu adhabu kwa watoto...nadhani tungewahurumia hawa na sio wale wa Zari.

Hahahaaa mkuu umenchekesha sana, anywey well said!!
 
Nakumbuka baada ya party ya Zari kuna mtu akiandika w atakuja na kutafuta huruma ingine mtandaoni na kweli ameifanya....ila hajaambia wanaotukana watu kwa ajili yake waache as hata alisafiri na kamanda mkuu wake anayetukana watu kwa jina la wema ..juzi kwenda mwanza

Na wala hakuandika yeye ka copy paste ya kwanza ikawa ya pili na ya part 2 ya kwanza.....ngachoka mie bora kukaa kimya. Ndio maana likes baada ya masaa 20 inaonyesha watu wamechoka
 
Wema mzur jaman zari wa kawaida tuu....
Hata Zari angekua na umri kama wa wema bado angekalishwa sema tuu ni mama ake wema kasoro


Zari ana miaka 34, wema mnaemsema eti mdogo ana miaka 26, sioni udogo wake hapo kwa kweli.
wema akifika 34 ya zari atakuwa bado anatoa macho hana lolote zaidi ya kudanganya kaolewa kwa mara ingine. She so FAKE!
 
Atishe kawa jinamizi wote wawili hakuna kitu washukuru vipodoz



Ila unawezs kuona tofauti kubwa sana wema akiwa hana wigi na vipodozi na zari akiwa hana wigi na vipodozi.
Wema anabebwa na vipodozi kwa asilimia 100, mwenzie anabebwa na vipodozi asilimia 40,
Wema na ule mtako sijui wake sijui mchina usiolingana na miguu yake looks like maid akitoa wigi na kutoeka make up. Ukijumlisha na kutokuwa na akili kichwani ndo kabisaaa she is worse.
 
Uzuri wao anaujua diamond,nyie wengne uzur gan mnaoujua
 
Kwani Zarinah ni mfupi au mrefu?

mfupi .. hakatizi 5'5 huyo.. ndo maana yuko sawa domo.. Wema kwa domo alikua mrefu sana kiufupi walikua hawapendezi kama sasa hivi Zarinah na domo.. uamuzi alioufanya wema wa kuachana na domo ni wa busara kwani hawaendani kwa vitu vingi tu.. huyu kakulia tandale na yule O'bay tena kwa baba diplomat wapi na wapi?
makavu live!
 
mfupi .. hakatizi 5'5 huyo.. ndo maana yuko sawa domo.. Wema kwa domo alikua mrefu sana kiufupi walikua hawapendezi kama sasa hivi Zarinah na domo.. uamuzi alioufanya wema wa kuachana na domo ni wa busara kwani hawaendani kwa vitu vingi tu.. huyu kakulia tandale na yule O'bay tena kwa baba diplomat wapi na wapi?
makavu live!

Ila tabia za wema aziendani na waliokulia obay hata ule mtaa wao.
 
Back
Top Bottom