Upo uhusiano mkubwa sana wa kuwashwawashwa pindi tu timu ya mchongo inapokosa kombe lolote na kubaki kumfatilia Bingwa YANGA.Tena aliyewalamba wenzenu keshazoea kunyonya manyonyo yenu. Mbumbumbu nyie
Sio tu vibonde na pia wamekuja jana saa 6 usiku uchovu umechangiaTena aliyewalamba wenzenu keshazoea kunyonya manyonyo yenu. Mbumbumbu nyie
Ukiatoa uchawi na kubebwa na waamuzi, utopolo haina ujanja wowote.Tena aliyewalamba wenzenu keshazoea kunyonya manyonyo yenu. Mbumbumbu nyie
Halafu ujue mna deni la 6-0 hamuwezi kulilipa achilia mbali zile 5 tanoTena aliyewalamba wenzenu keshazoea kunyonya manyonyo yenu. Mbumbumbu nyie
Ni kweliUpo uhusiano mkubwa sana wa kuwashwawashwa pindi tu timu ya mchongo inapokosa kombe lolote na kubaki kumfatilia Bingwa YANGA.
USHAURI:
MBUMBUMBU waendelee kutumia methadone dozens ili kuwaondolea ukichaa.
Mmefungwa mara ngapi?Halafu ujue mna deni la 6-0 hamuwezi kulilipa achilia mbali zile 5 tano
Nyie mbona huwa hamkazi. Mayele anawafanya kila sikuUkiatoa uchawi na kubebwa na waamuzi,utopolo haina ujanja wowote.
Timu imefika kwa bus jana SAA 5 usiku,ila wamewakazia dakika 45!
Bado mnakesha bar kusherehekea hat trick na kwa wengi wenu hamjui hata mko hatua gani.
Simba ilisha wahi kufungwa 5-0 achana na mambo ya goli 4. Kama hujawahi kusikia muulize babayako kama ni mfuatiliaji wa soka atakumbuka.Lini yanga amwewahi ifunga simba japo 4 kwa 3?, achilia mbali 3 bila?.
Ukiona hivyo ujue unatafuta sehemu ya kupumlia maana uwezo wenu kimataifa unajulikana hususani mnapokutana na timu ndogo kama rivers mnachapika nje ndani.
Nabi akishinda kimataifa jua alikuwa anacheza na wauza chai mtaani maana hata somalia u20 aliwashindwa.
Najua umekasilika coz mnapenda Mayele awafunge nyie tu. Wivu mbaya sanaLini yanga amwewahi ifunga simba japo 4 kwa 3?, achilia mbali 3 bila?.
Ukiona hivyo ujue unatafuta sehemu ya kupumlia maana uwezo wenu kimataifa unajulikana hususani mnapokutana na timu ndogo kama rivers mnachapika nje ndani.
Nabi akishinda kimataifa jua alikuwa anacheza na wauza chai mtaani maana hata somalia u20 aliwashindwa.
Afya ya akili itatibiwa tar 23 Oct. Baada ya hapo ndio akili zitawakaa sawaUkiatoa uchawi na kubebwa na waamuzi,utopolo haina ujanja wowote.
Timu imefika kwa bus jana SAA 5 usiku,ila wamewakazia dakika 45!
Bado mnakesha bar kusherehekea hat trick na kwa wengi wenu hamjui hata mko hatua gani.
Lkn aliyewafunga wasudani ni Mayele na Feisal. Na hao ndio dawa ya manyonyoKutoka Sudan kwa basi Hadi bongo dah hii noma alafu kaingia uwanjani leo
Hivi vitoto havijui kituSimba ilisha wahi kufungwa 5-0 achana na mambo ya goli 4. Kama hujawahi kusikia muulize babayako kama ni mfuatiliaji wa soka atakumbuka.
Mmepigwa na yanga mara 3 mtawalia ambayo ni sawa na hat trick sijui unahitaji hat trick ipi nyingine, kama ni kibonde basi nyie inaonekana ni vibonde zaidi ya hao zahlan maana kwa akili ya kawaida uwezi kuwa unapigwa tu kila mechi na wala ubadiliki ata kiufundi ni maumivu makubwa sanaUkiatoa uchawi na kubebwa na waamuzi,utopolo haina ujanja wowote.
Timu imefika kwa bus jana SAA 5 usiku,ila wamewakazia dakika 45!
Bado mnakesha bar kusherehekea hat trick na kwa wengi wenu hamjui hata mko hatua gani.
Alafu kaishia kupigwa 4 mtungoKutoka Sudan kwa basi Hadi bongo dah hii noma alafu kaingia uwanjani leo
Duuuuh kwa hio umeridhia kua mbwa mkuu?Yanga mtu wanayeweza kumfunga ni zalan fc tu akija kushinda mechi nyingine baada ya zalan kutolewa mniite mbwa nipo hapa๐๐