Eti yanga wana bahati na vibonde!

Eti yanga wana bahati na vibonde!

Kichuchunge

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2020
Posts
384
Reaction score
970
"Yanga wamepata bahati ya kukutana na Vibonde tangu msimu uliopita kwenye mashindano ya kombe la shirikisho barani Africa na msimu huu kwenye club bingwa
MSIMU ULIOPITA

YANGA vs Mazembe alikuwa dhofuli hali yanga wakashinda kirahisi tu
YANGA VS Us Monastiry ilikuwa mara yake ya kwanza kushiriki makundi tofauti na Yanga ambayo ilikuwa inashiriki kwa mara tatu

YANGA VS Real Bamako ni timu ambayo tayari ilishajichokoea toka mda mrefu ndio maana Yanga walipata matokeo kirahisi sana

YANGA vs Rivers hii timu ilikuwa inaingia robo fainali kwa mara ya kwanza na hata makundi ilikuwa ni mara yake ya kwanza tofauti na Yanga ambao walikuwa na uzoefu mkubwa kwenye kombe la shirikisho

YANGA vs Marumo Gallants wao walikuwa wameshuka daraja kabisa kwahio ilikuwa bahati nyingine kwa Yanga ndio maana hata kushinda ikawa rahisi sana
MSIMU HUU

YANGA VS ASAS..hapa Yanga walipata bahati nyingine ya kukutana na timu ambayo haina ubora na wakapata bahati ya kucheza mechi zote mbili nyumbani na ugenini wakapata matokeo mazuri

YANGA VS El Merrick hii bahati nyingine kwa Yanga wamekutana na timu ambayo haina ubora imebaki na historia yake tu ndio maana wamepata matokeo kirahisi sana"

Mchambuzi Alex Ngereza kutoka TV3
 
"Yanga wamepata bahati ya kukutana na Vibonde tangu msimu uliopita kwenye mashindano ya kombe la shirikisho barani Africa na msimu huu kwenye club bingwa
MSIMU ULIOPITA
YANGA vs Mazembe alikuwa dhofuli hali yanga wakashinda kirahisi tu
YANGA VS Us Monastiry ilikuwa mara yake ya kwanza kushiriki makundi tofauti na Yanga ambayo ilikuwa inashiriki kwa mara tatu
YANGA VS Real Bamako ni timu ambayo tayari ilishajichokoea toka mda mrefu ndio maana Yanga walipata matokeo kirahisi sana
YANGA vs Rivers hii timu ilikuwa inaingia robo fainali kwa mara ya kwanza na hata makundi ilikuwa ni mara yake ya kwanza tofauti na Yanga ambao walikuwa na uzoefu mkubwa kwenye kombe la shirikisho
YANGA vs Marumo Gallants wao walikuwa wameshuka daraja kabisa kwahio ilikuwa bahati nyingine kwa Yanga ndio maana hata kushinda ikawa rahisi sana
MSIMU HUU
YANGA VS ASAS..hapa Yanga walipata bahati nyingine ya kukutana na timu ambayo haina ubora na wakapata bahati ya kucheza mechi zote mbili nyumbani na ugenini wakapata matokeo mazuri
YANGA VS El Merrick hii bahati nyingine kwa Yanga wamekutana na timu ambayo haina ubora imebaki na historia yake tu ndio maana wamepata matokeo kirahisi sana"
Mchambuzi Alex Ngereza kutoka TV3
HUO NI UKWELI ILA SIO BAHATI CAF INAUJUA UWEZO MDOGO WA YANGA NDIO MAANA INAWAPANGA NA VIBONDE
 
"Yanga wamepata bahati ya kukutana na Vibonde tangu msimu uliopita kwenye mashindano ya kombe la shirikisho barani Africa na msimu huu kwenye club bingwa
MSIMU ULIOPITA

YANGA vs Mazembe alikuwa dhofuli hali yanga wakashinda kirahisi tu
YANGA VS Us Monastiry ilikuwa mara yake ya kwanza kushiriki makundi tofauti na Yanga ambayo ilikuwa inashiriki kwa mara tatu

YANGA VS Real Bamako ni timu ambayo tayari ilishajichokoea toka mda mrefu ndio maana Yanga walipata matokeo kirahisi sana

YANGA vs Rivers hii timu ilikuwa inaingia robo fainali kwa mara ya kwanza na hata makundi ilikuwa ni mara yake ya kwanza tofauti na Yanga ambao walikuwa na uzoefu mkubwa kwenye kombe la shirikisho

YANGA vs Marumo Gallants wao walikuwa wameshuka daraja kabisa kwahio ilikuwa bahati nyingine kwa Yanga ndio maana hata kushinda ikawa rahisi sana
MSIMU HUU

YANGA VS ASAS..hapa Yanga walipata bahati nyingine ya kukutana na timu ambayo haina ubora na wakapata bahati ya kucheza mechi zote mbili nyumbani na ugenini wakapata matokeo mazuri

YANGA VS El Merrick hii bahati nyingine kwa Yanga wamekutana na timu ambayo haina ubora imebaki na historia yake tu ndio maana wamepata matokeo kirahisi sana"

Mchambuzi Alex Ngereza kutoka TV3
Sasa mbona bahati ni kwa yanga tuu,kolo nani kawalaani,hata mkutane na timu ngumu tuu.🤔
 
Unapelekewa moto kwa dakika zote 90 halafu unapata kabisa ujasiri wa kujiita kidume!!
Aliechukua ubingwa ndo kidume aliekua anapeleka moto, nyie mlikua mnapeleka moshi ✅️
 

Attachments

  • IMG_7983.jpeg
    IMG_7983.jpeg
    34 KB · Views: 1
"Yanga wamepata bahati ya kukutana na Vibonde tangu msimu uliopita kwenye mashindano ya kombe la shirikisho barani Africa na msimu huu kwenye club bingwa
MSIMU ULIOPITA

YANGA vs Mazembe alikuwa dhofuli hali yanga wakashinda kirahisi tu
YANGA VS Us Monastiry ilikuwa mara yake ya kwanza kushiriki makundi tofauti na Yanga ambayo ilikuwa inashiriki kwa mara tatu

YANGA VS Real Bamako ni timu ambayo tayari ilishajichokoea toka mda mrefu ndio maana Yanga walipata matokeo kirahisi sana

YANGA vs Rivers hii timu ilikuwa inaingia robo fainali kwa mara ya kwanza na hata makundi ilikuwa ni mara yake ya kwanza tofauti na Yanga ambao walikuwa na uzoefu mkubwa kwenye kombe la shirikisho

YANGA vs Marumo Gallants wao walikuwa wameshuka daraja kabisa kwahio ilikuwa bahati nyingine kwa Yanga ndio maana hata kushinda ikawa rahisi sana
MSIMU HUU

YANGA VS ASAS..hapa Yanga walipata bahati nyingine ya kukutana na timu ambayo haina ubora na wakapata bahati ya kucheza mechi zote mbili nyumbani na ugenini wakapata matokeo mazuri

YANGA VS El Merrick hii bahati nyingine kwa Yanga wamekutana na timu ambayo haina ubora imebaki na historia yake tu ndio maana wamepata matokeo kirahisi sana"

Mchambuzi Alex Ngereza kutoka TV3
Mchambuzi mbona umeruka mechi? Yanga hakucheza na USMA?
Vipi USMA ni kibonde au sio kibonde?
 
"Yanga wamepata bahati ya kukutana na Vibonde tangu msimu uliopita kwenye mashindano ya kombe la shirikisho barani Africa na msimu huu kwenye club bingwa
MSIMU ULIOPITA

YANGA vs Mazembe alikuwa dhofuli hali yanga wakashinda kirahisi tu
YANGA VS Us Monastiry ilikuwa mara yake ya kwanza kushiriki makundi tofauti na Yanga ambayo ilikuwa inashiriki kwa mara tatu

YANGA VS Real Bamako ni timu ambayo tayari ilishajichokoea toka mda mrefu ndio maana Yanga walipata matokeo kirahisi sana

YANGA vs Rivers hii timu ilikuwa inaingia robo fainali kwa mara ya kwanza na hata makundi ilikuwa ni mara yake ya kwanza tofauti na Yanga ambao walikuwa na uzoefu mkubwa kwenye kombe la shirikisho

YANGA vs Marumo Gallants wao walikuwa wameshuka daraja kabisa kwahio ilikuwa bahati nyingine kwa Yanga ndio maana hata kushinda ikawa rahisi sana
MSIMU HUU

YANGA VS ASAS..hapa Yanga walipata bahati nyingine ya kukutana na timu ambayo haina ubora na wakapata bahati ya kucheza mechi zote mbili nyumbani na ugenini wakapata matokeo mazuri

YANGA VS El Merrick hii bahati nyingine kwa Yanga wamekutana na timu ambayo haina ubora imebaki na historia yake tu ndio maana wamepata matokeo kirahisi sana"

Mchambuzi Alex Ngereza kutoka TV3
Kati ya Al Merrikh na power dynamo ni timu ipi kibonde?
 
"Yanga wamepata bahati ya kukutana na Vibonde tangu msimu uliopita kwenye mashindano ya kombe la shirikisho barani Africa na msimu huu kwenye club bingwa
MSIMU ULIOPITA

YANGA vs Mazembe alikuwa dhofuli hali yanga wakashinda kirahisi tu
YANGA VS Us Monastiry ilikuwa mara yake ya kwanza kushiriki makundi tofauti na Yanga ambayo ilikuwa inashiriki kwa mara tatu

YANGA VS Real Bamako ni timu ambayo tayari ilishajichokoea toka mda mrefu ndio maana Yanga walipata matokeo kirahisi sana

YANGA vs Rivers hii timu ilikuwa inaingia robo fainali kwa mara ya kwanza na hata makundi ilikuwa ni mara yake ya kwanza tofauti na Yanga ambao walikuwa na uzoefu mkubwa kwenye kombe la shirikisho

YANGA vs Marumo Gallants wao walikuwa wameshuka daraja kabisa kwahio ilikuwa bahati nyingine kwa Yanga ndio maana hata kushinda ikawa rahisi sana
MSIMU HUU

YANGA VS ASAS..hapa Yanga walipata bahati nyingine ya kukutana na timu ambayo haina ubora na wakapata bahati ya kucheza mechi zote mbili nyumbani na ugenini wakapata matokeo mazuri

YANGA VS El Merrick hii bahati nyingine kwa Yanga wamekutana na timu ambayo haina ubora imebaki na historia yake tu ndio maana wamepata matokeo kirahisi sana"

Mchambuzi Alex Ngereza kutoka TV3
Mchambuzi wa mchele huyu mafi ya kuku kabisa.
 
"Yanga wamepata bahati ya kukutana na Vibonde tangu msimu uliopita kwenye mashindano ya kombe la shirikisho barani Africa na msimu huu kwenye club bingwa
MSIMU ULIOPITA

YANGA vs Mazembe alikuwa dhofuli hali yanga wakashinda kirahisi tu
YANGA VS Us Monastiry ilikuwa mara yake ya kwanza kushiriki makundi tofauti na Yanga ambayo ilikuwa inashiriki kwa mara tatu

YANGA VS Real Bamako ni timu ambayo tayari ilishajichokoea toka mda mrefu ndio maana Yanga walipata matokeo kirahisi sana

YANGA vs Rivers hii timu ilikuwa inaingia robo fainali kwa mara ya kwanza na hata makundi ilikuwa ni mara yake ya kwanza tofauti na Yanga ambao walikuwa na uzoefu mkubwa kwenye kombe la shirikisho

YANGA vs Marumo Gallants wao walikuwa wameshuka daraja kabisa kwahio ilikuwa bahati nyingine kwa Yanga ndio maana hata kushinda ikawa rahisi sana
MSIMU HUU

YANGA VS ASAS..hapa Yanga walipata bahati nyingine ya kukutana na timu ambayo haina ubora na wakapata bahati ya kucheza mechi zote mbili nyumbani na ugenini wakapata matokeo mazuri

YANGA VS El Merrick hii bahati nyingine kwa Yanga wamekutana na timu ambayo haina ubora imebaki na historia yake tu ndio maana wamepata matokeo kirahisi sana"

Mchambuzi Alex Ngereza kutoka TV3
Unawashwawashwa wewe
 
Back
Top Bottom