Kichuchunge
JF-Expert Member
- Dec 2, 2020
- 384
- 970
"Yanga wamepata bahati ya kukutana na Vibonde tangu msimu uliopita kwenye mashindano ya kombe la shirikisho barani Africa na msimu huu kwenye club bingwa
MSIMU ULIOPITA
YANGA vs Mazembe alikuwa dhofuli hali yanga wakashinda kirahisi tu
YANGA VS Us Monastiry ilikuwa mara yake ya kwanza kushiriki makundi tofauti na Yanga ambayo ilikuwa inashiriki kwa mara tatu
YANGA VS Real Bamako ni timu ambayo tayari ilishajichokoea toka mda mrefu ndio maana Yanga walipata matokeo kirahisi sana
YANGA vs Rivers hii timu ilikuwa inaingia robo fainali kwa mara ya kwanza na hata makundi ilikuwa ni mara yake ya kwanza tofauti na Yanga ambao walikuwa na uzoefu mkubwa kwenye kombe la shirikisho
YANGA vs Marumo Gallants wao walikuwa wameshuka daraja kabisa kwahio ilikuwa bahati nyingine kwa Yanga ndio maana hata kushinda ikawa rahisi sana
MSIMU HUU
YANGA VS ASAS..hapa Yanga walipata bahati nyingine ya kukutana na timu ambayo haina ubora na wakapata bahati ya kucheza mechi zote mbili nyumbani na ugenini wakapata matokeo mazuri
YANGA VS El Merrick hii bahati nyingine kwa Yanga wamekutana na timu ambayo haina ubora imebaki na historia yake tu ndio maana wamepata matokeo kirahisi sana"
Mchambuzi Alex Ngereza kutoka TV3
MSIMU ULIOPITA
YANGA vs Mazembe alikuwa dhofuli hali yanga wakashinda kirahisi tu
YANGA VS Us Monastiry ilikuwa mara yake ya kwanza kushiriki makundi tofauti na Yanga ambayo ilikuwa inashiriki kwa mara tatu
YANGA VS Real Bamako ni timu ambayo tayari ilishajichokoea toka mda mrefu ndio maana Yanga walipata matokeo kirahisi sana
YANGA vs Rivers hii timu ilikuwa inaingia robo fainali kwa mara ya kwanza na hata makundi ilikuwa ni mara yake ya kwanza tofauti na Yanga ambao walikuwa na uzoefu mkubwa kwenye kombe la shirikisho
YANGA vs Marumo Gallants wao walikuwa wameshuka daraja kabisa kwahio ilikuwa bahati nyingine kwa Yanga ndio maana hata kushinda ikawa rahisi sana
MSIMU HUU
YANGA VS ASAS..hapa Yanga walipata bahati nyingine ya kukutana na timu ambayo haina ubora na wakapata bahati ya kucheza mechi zote mbili nyumbani na ugenini wakapata matokeo mazuri
YANGA VS El Merrick hii bahati nyingine kwa Yanga wamekutana na timu ambayo haina ubora imebaki na historia yake tu ndio maana wamepata matokeo kirahisi sana"
Mchambuzi Alex Ngereza kutoka TV3