passioner255
JF-Expert Member
- Apr 22, 2019
- 6,192
- 11,897
Al Mereikh hawana hata ligiKati ya Al Merrikh na power dynamo ni timu ipi kibonde?
Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Al Mereikh hawana hata ligiKati ya Al Merrikh na power dynamo ni timu ipi kibonde?
Nchi ambayo haina ligi haiwezi kuwa na vigezo vya kushiriki michuano ya CF. Halafu niichouliza so ligi bali nimeuliza kati ya Al Merrikh na power dynamo timu ipi kibonde.
Labda El Merrikh wa zamani , siyo huyu mkimbizi wa kivita. Na Bado huyo wa zamani alipigwa na simba 4,0 kwa Mkapa kama hujuiKati ya Al Merrikh na power dynamo ni timu ipi kibonde?
Lakini si hua mnasema champions League hakuna timu dhaifu imekuaje tena?Labda El Merrikh wa zamani , siyo huyu mkimbizi wa kivita. Na Bado huyo wa zamani alipigwa na simba 4,0 kwa Mkapa kama hujui
Ndio hapo"Yanga wamepata bahati ya kukutana na Vibonde tangu msimu uliopita kwenye mashindano ya kombe la shirikisho barani Africa na msimu huu kwenye club bingwa
MSIMU ULIOPITA
YANGA vs Mazembe alikuwa dhofuli hali yanga wakashinda kirahisi tu
YANGA VS Us Monastiry ilikuwa mara yake ya kwanza kushiriki makundi tofauti na Yanga ambayo ilikuwa inashiriki kwa mara tatu
YANGA VS Real Bamako ni timu ambayo tayari ilishajichokoea toka mda mrefu ndio maana Yanga walipata matokeo kirahisi sana
YANGA vs Rivers hii timu ilikuwa inaingia robo fainali kwa mara ya kwanza na hata makundi ilikuwa ni mara yake ya kwanza tofauti na Yanga ambao walikuwa na uzoefu mkubwa kwenye kombe la shirikisho
YANGA vs Marumo Gallants wao walikuwa wameshuka daraja kabisa kwahio ilikuwa bahati nyingine kwa Yanga ndio maana hata kushinda ikawa rahisi sana
MSIMU HUU
YANGA VS ASAS..hapa Yanga walipata bahati nyingine ya kukutana na timu ambayo haina ubora na wakapata bahati ya kucheza mechi zote mbili nyumbani na ugenini wakapata matokeo mazuri
YANGA VS El Merrick hii bahati nyingine kwa Yanga wamekutana na timu ambayo haina ubora imebaki na historia yake tu ndio maana wamepata matokeo kirahisi sana"
Mchambuzi Alex Ngereza kutoka TV3
Zipo hatua za mwanzoLakini si hua mnasema champions League hakuna timu dhaifu imekuaje tena?
Nani?Ngao ya hisani ulimi uliwatoka
Kwani Jwaneng Galaxy ana sio kibonde? Mbona simba alikaa?HUO NI UKWELI ILA SIO BAHATI CAF INAUJUA UWEZO MDOGO WA YANGA NDIO MAANA INAWAPANGA NA VIBONDE
Makolo wanashiriki ligi ngumu mara nyingiSasa mbona bahati ni kwa yanga tuu,kolo nani kawalaani,hata mkutane na timu ngumu tuu.🤔
Bora iwe hivyo wafute machungu ya kupigwa bao 8 bila kwenye mechi moja,Kwa trend invyoenda Yanga itakuwa timu ya Kwanza kucheza Nusu fainali na fainali za CAF GSM na ENGINEER washike hapo hapo waliposhika inaweza isiwe msimu huu lakini YANGA itakuwa ya kwanza.
Sawa vibonde vinaishia ili huko mbele msije badili manenoZipo hatua za mwanzo