Eti yanga wana bahati na vibonde!

Ndio hapo
 
Kwa trend invyoenda Yanga itakuwa timu ya Kwanza kucheza Nusu fainali na fainali za CAF GSM na ENGINEER washike hapo hapo waliposhika inaweza isiwe msimu huu lakini YANGA itakuwa ya kwanza.
 
Kwa trend invyoenda Yanga itakuwa timu ya Kwanza kucheza Nusu fainali na fainali za CAF GSM na ENGINEER washike hapo hapo waliposhika inaweza isiwe msimu huu lakini YANGA itakuwa ya kwanza.
Bora iwe hivyo wafute machungu ya kupigwa bao 8 bila kwenye mechi moja,
 
Rage atakumbukwa siku zote, Makolo wote ni mambumbumbu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…