Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Mchezaji wa zamani wa Barcelona, Real Madrid, Chelsea, Everton na timu ya taifa ya Cameroon, Samuel Eto'o Fils amesema kwake yeye Okocha alikuwa na uwezo zaidi ya Ronaldinho.
Tulichokiona kinafanywa na Ronaldinho kilishafanywa miaka 10 mpaka 15 iliyopita na Okocha. Hata walipokuwa wote PSG Okocha alikuwa akimuweka benchi Ronaldinho.
Ila kwakuwa Okocha anatokea Afrika, hawakuweza kumpa sifa zake hivyo nadiriki kusema Okocha alikuwa bora kuliko Ronaldinho. Aliongeza Eto'o
Mwanamichezo unakubaliana na Eto'o? Kwako wewe nani alikuwa yuko vizuri zaidi?
Tulichokiona kinafanywa na Ronaldinho kilishafanywa miaka 10 mpaka 15 iliyopita na Okocha. Hata walipokuwa wote PSG Okocha alikuwa akimuweka benchi Ronaldinho.
Ila kwakuwa Okocha anatokea Afrika, hawakuweza kumpa sifa zake hivyo nadiriki kusema Okocha alikuwa bora kuliko Ronaldinho. Aliongeza Eto'o
Mwanamichezo unakubaliana na Eto'o? Kwako wewe nani alikuwa yuko vizuri zaidi?