Eto'o: Okocha alikuwa ni bora zaidi ya Ronaldinho

Eto'o: Okocha alikuwa ni bora zaidi ya Ronaldinho

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2017
Posts
23,620
Reaction score
52,790
Mchezaji wa zamani wa Barcelona, Real Madrid, Chelsea, Everton na timu ya taifa ya Cameroon, Samuel Eto'o Fils amesema kwake yeye Okocha alikuwa na uwezo zaidi ya Ronaldinho.

Tulichokiona kinafanywa na Ronaldinho kilishafanywa miaka 10 mpaka 15 iliyopita na Okocha. Hata walipokuwa wote PSG Okocha alikuwa akimuweka benchi Ronaldinho.

Ila kwakuwa Okocha anatokea Afrika, hawakuweza kumpa sifa zake hivyo nadiriki kusema Okocha alikuwa bora kuliko Ronaldinho. Aliongeza Eto'o

Mwanamichezo unakubaliana na Eto'o? Kwako wewe nani alikuwa yuko vizuri zaidi?
 
Kipaji; Uchapaji Kazi / Kujituma; All Round Game ni vitu tofauti.... Pia kuna kitu kinaitwa all rounder;

Talent is no substitute for hard work......
 
Ni kweli okocha alikuwa na kipaji kikubwa pengine zaidi ya dinho, ila kuna vitu vilimuangusha, ukiangalia hata baadhi ya game utaona hayo matatizo, okocha alikuwa na show numyingi ambazo wakati mwingine zinauwa move ya goli, anapoza mashambulizi kwa kufanya madoido yake mambo ambayo na neymar anayo... Ila gaucho madoido yake yalikuwa yanaenda na move ya goli

Kacheki haymta youtube vidoe 3 za okocha na 3 za gaucho utaona hili..

Dinho mwenyewe aishawahi kukiri kuwa anamkubali mnoo OKOCHA, na alilalamika kwanini okocha alikimbilia Uingereza, ila lau angeenda spajn basi histori ingekuwa tofauti.
 
Ni kweli okocha alikuwa na kipaji kikubwa pengine zaidi ya dinho, ila kuna vitu vilimuangusha, ukiangalia hata baadhi ya game utaona hayo matatizo, okocha alikuwa na show numyingi ambazo wakati mwingine zinauwa move ya goli, anapoza mashambulizi kwa kufanya madoido yake mambo ambayo na neymar anayo... Ila gaucho madoido yake yalikuwa yanaenda na move ya goli

Kacheki haymta youtube vidoe 3 za okocha na 3 za gaucho utaona hili..

Dinho mwenyewe aishawahi kukiri kuwa anamkubali mnoo OKOCHA, na alilalamika kwanini okocha alikimbilia Uingereza, ila lau angeenda spajn basi histori ingekuwa tofauti.
Tumekusoma
 
Ni kweli okocha alikuwa na kipaji kikubwa pengine zaidi ya dinho, ila kuna vitu vilimuangusha, ukiangalia hata baadhi ya game utaona hayo matatizo, okocha alikuwa na show numyingi ambazo wakati mwingine zinauwa move ya goli, anapoza mashambulizi kwa kufanya madoido yake mambo ambayo na neymar anayo... Ila gaucho madoido yake yalikuwa yanaenda na move ya goli

Kacheki haymta youtube vidoe 3 za okocha na 3 za gaucho utaona hili..

Dinho mwenyewe aishawahi kukiri kuwa anamkubali mnoo OKOCHA, na alilalamika kwanini okocha alikimbilia Uingereza, ila lau angeenda spajn basi histori ingekuwa tofauti.
Okocha angefanya vizuri kama angeenda hispania kutokana na uchezaji wake ila akakimbilia uk tena kwenye timu ya kawaida
 
Huyo okocha kaishia kuchezea timu ndogo tu jiulize timu kubwa si zilikuwepo? Kwann hazijamsajiri?

Pia okocha hana tuzo yoyote sawa mchezaji bora wa dunia unaweza kusema wazungu wamembania, je mchezaji bora wa africa mbona hajachukua hata mara moja?

Hakuwa bora kihivyo zaidi ya machenga tu, usije ukamfananisha na fundi gaucho
 
Huyo okocha kaishia kuchezea timu ndogo tu jiulize timu kubwa si zilikuwepo? Kwann hazijamsajiri?

Pia okocha hana tuzo yoyote sawa mchezaji bora wa dunia unaweza kusema wazungu wamembania, je mchezaji bora wa africa mbona hajachukua hata mara moja?

Hakuwa bora kihivyo zaidi ya machenga tu, usije ukamfananisha na fundi gaucho
Kuna jambo linaitwa management, msione watu wanatoboa toboa tu, kwa soka la okocha angefika zaidi ya pale, kuna vitu alikosa. Dinho mwenyewe kawahi kukiri okocha ni moto wa kuotea mbali, ila alifeli pale kukimbilia Uingereza kutimiza ndoto zake za kucheza epl.
 
Mchezaji wa zamani wa Barcelona, Real Madrid, Chelsea, Everton na timu ya taifa ya Cameroon, Samuel Eto'o Fils amesema kwake yeye Okocha alikuwa na uwezo zaidi ya Ronaldinho.

Tulichokiona kinafanywa na Ronaldinho kilishafanywa miaka 10 mpaka 15 iliyopita na Okocha. Hata walipokuwa wote PSG Okocha alikuwa akimuweka benchi Ronaldinho.

Ila kwakuwa Okocha anatokea Afrika, hawakuweza kumpa sifa zake hivyo nadiriki kusema Okocha alikuwa bora kuliko Ronaldinho. Aliongeza Eto'o

Mwanamichezo unakubaliana na Eto'o? Kwako wewe nani alikuwa yuko vizuri zaidi?
EToo yuko sahihi kabisa. Kwa tuliobahatika kuwaona wote wakicheza tunasema Jay Jay ni zaidi ya Gaucho
 
Back
Top Bottom