Eto'o: Okocha alikuwa ni bora zaidi ya Ronaldinho

Kwangu mimi binafsi bila kusikiliza porojo za mabeberu au vyombo vya habari nasema gaucho kamuacha okocha mbali sana.uwezo wa okocha labda umlinganishe na zidane na kawapita kidogo sana pirlo au watu kama kina iniesta ila sio gaucho.Gaucho ndiye fundi wa soka aliyeondoka uwanjani na vionjo vyake.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Ronaldhinho wamemuanzishia mpaka kombe lake huko brazil
Okocha nchini kwake wamemfanyia nn kumuenzi
Ronaldinho alikua ni balaa nyingine wadada mpaka walikua wanajua ratiba za mechi za barcelona
 
Ukishakua na uwezo mkubwa management nzuri itajiset yenyewe.kwahiyo lazima uanze kwanza kua na uwezo kisha ndo management ifwate.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Lawama kwa wazungu. Waafrika wazee wa kujilizaliza. Playing victim

Africa kapewa tuzo gani? Maana kwa dunia wamemuonea.
 

Okocha ni bora zaidi ya ronaldino.
 
Hivi wakuu tunamzungumzia Ronaldinho huyuhuyu alokipiga PSG, Barca kisha AC Milan au tunamzungumzia Ronaldinho yupi?

Etoo akumbuke Game walompiga Madrid 3-0 pale Santiago Bernabeu. Goli mbili alizoweka Gaucho, ikabidi mashabiki wa Madrid wampgie makofi Gaucho.

Kama tunazungumzia Talent yenye manufaa, tumuwekeni pembeni Gaucho.

Tukizungumzia overall kwa wachezaji wooote ulimwenguni, toka soka lianze, tumpe heshima yake mtu mmoja tu hapa duniani, ni LIONEL ANDRES MESSI.
 
Tukizungumzia overall kwa wachezaji wooote ulimwenguni, toka soka lianze, tumpe heshima yake mtu mmoja tu hapa duniani, ni LIONEL ANDRES MESSI.

Kwa huyu hakuna ubishi aise, sidhani kama atakuja kutokea kama Messi. Wakina Ronaldo wengi, gaucho wengi. Ila kwa Messi no comment
 
Dah sijui nan kamzid mwenzake lakin hao jamaa walikuwa wanacheza na ufundi wa kuuchezea mpira na unakubali wenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…