EU imejipiga "risasi ya ya kwenye mapafu" kwa kuiwekea vikwazo Urusi

EU imejipiga "risasi ya ya kwenye mapafu" kwa kuiwekea vikwazo Urusi

[emoji599][emoji599][emoji599][emoji1112]#Breaking: Serbian cargo plane carrying #NATO weapons to Ukraine, possibly targeted over Greece. https://t.co/5sjazWueu6

Update: NATO investigating the incident tonight and will release an statement tomorrow
20220716_223941.jpg
 
Ni kweli sanctions walizowekewa Russia siyo kwamba ,wazungu walikua hawajui zitawathiri ila impact yake siyo kubwa kama itakayompata mrusi,ujue Russia ni nchi ya kibiashara na pia ni mzalishaji,ana viwanda zaid ya elfu 10 ,ana makapuni ya kibiashara mengi sana ulaya na Asia ,ana ushirika mkubwa sana wa kiuzalishaji baina yake na ulaya na Asia ,hivyo vikwazo vya kutotumia dola,VISA,kuondolewa kwenye mfumo wa kibiashara wa dunia ,inter bank systems, kuzuiliwa kwa safar za anga,ukamataj wa Mali na makampuni yote ya Russian yaliyoko ulaya na baadhi ya nchi za Russia ,kiukweli haya ni machache nimetaja ila in long run kama vikwazo hivi vitaendelea wazungu watatafuta njia mbadala ya kuishi bila urusi ,ni wazi in short run ulaya na Asia watapata maumivu ya kiuchumi ila wakitoka mrusi hatakua salama ,hali ni mbaya sana huwez ukawa na kiwanda ukataka kuwekeza Russia kwa sasa maana siyo salama.
When trade between Russia and all other countries is blocked for a year, the impact on the world economy would be −0.7%. By country, the impact on Russia would be −15.8%, China −0.9%, the EU −0.5%, the US −0.1%, and Japan −0.1%
Usijidanganye wanataka kuondoa sanctions this ya Russia, sasa hivi wanakaa vikao vingi mfano leo G20 wanakutana na lengo kubwa ni kujadili jinsi ya kuishi bila mrussi ,hawa jamaa vikwazo walivyomwekea Putin ni vya kikatili ,jaribu kugoogle uone vyote ,hata mwanzon puttin alilaan sana hivi vikwazo ila kiujumla ulaya imeshamhesabu Russia kama adui wao.
China anajua kitakachompata mruss na anakisubir sana hats baadhi ya nchi rafiki zake wanamsubiri kwa hamu maana kitakachotokea mbeleni itabid Russia achutame kwa mchina ,na ukumchutamia mchina unajua kazi yake!!!!.
Mfano German ambao kiulaya ni wanunuz wakubwa wa products za Russia ikiwemo nishati ,wameshajipanga mpaka ifikapo mwaka 2025 watakua wameachana na Russia kabisa,nchi nyingine mwaka huu mwishon wanamtenga kabisa.
Weng tunajidanganya kwamba mrusi ndiye analisha dunia mkuu nenda ukatafute data ,yuko China wa kwanza ,yupo US,zipo EU na baadhi ya mataifa ya Asia ,.
Sio wao waliotuambia Kwamba ifikapo mwezi wa tano Russia itakua imechuchumaa kwa aibu ya anguko la kiuchumi?

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
[emoji599][emoji599][emoji599][emoji1112]#Breaking: Serbian cargo plane carrying #NATO weapons to Ukraine, possibly targeted over Greece. https://t.co/5sjazWueu6

Update: NATO investigating the incident tonight and will release an statement tomorrowView attachment 2293543
Saini aliyotia putin majuzi ya kikosi kazi chake kuanza kupambana na magaidi yanayo mpatia ukraine silaha imeanza kufanya kazi [emoji1787][emoji1787]
 
Kiongozi mpya wa Saudia alishajua unafiki wa Merikani,ndio maana mapema mwaka huu alipuuzia kujibu/pokea simu ya Rais wa Merikani, hata kiongozi wa Qatar alikataa kupokea simu ya Biden.

Wamerika watu wa ajabu sana, wana imani kwamba binadamu ambao si wazaliwa/raia wa Amerika ni nusu binadamu - dhana hiko deep seated kabisa na actually hiko more pronounced kwa Wamerica wenye asili ya Anglo-Saxon ubaguzi huu hawausemi moja kwa moja lakini wanau-practice kimya kimya, mfano: asili mia 98% ya walio wahi kuwa Rais wa Merikani wana asili ya Anglo-Saxon hata mama yake Obama ana asili ya huko, hapo hatuja zungumzia majaji!! Kuna wakati fulani Mmerikani mwenye asili ya Ugiriki alitaka kuwania kiti cha Urais, media zilibeza beza asili yake mpaka nikiona aibu sana toka visanga hivyo ndio nikatambua undani wa viumbe hawa.

Ukichunguza kwa umakini utakuta viogozi wa ngazi za juu huko Merikani karibu wote wamesoma Vyuo Vikuu aidha vya Harvard au Yale, wengi wao walikuwa ni members wanao abudu imani za kishetani na kufundishwa kuwa wakatiri - ebu check body language ya Biden anapo zungumza kumuhusu Putin au Bush Jr alipo adhinisha kifo cha Sadam Hussein kwa kunyongwa kwa kamba, wakati Bush Jr anazungumza na media kuhusu uhamuzi wake Bush Jr was as cool as cucumber, kisaikolojia niliona Bush si binadamu wa kawaida hivyo nikajitahidi kufatilia background yake - nikakuta kumbe alisoma Chuo Kikuu cha Yale na alikuwa member wa waumini wa mashetani na ukatiri (Bones and Skull) na baba yake alisoma Chuo hicho, John Kerry, Clinton na mkewe nk. Babake Bush alikuwa members wa dini ya kishetani baadae akaja kuwa Director wa CIA kwenye miaka ya 1960s ina aminika alihusika kwa njia moja au nyingine kwa kifo cha Rais Kennedy!! Ukifatilia kiundani kuhusu watu hawa wala huwezi kushangaa kinacho endelea Duniani kinacho sababishwa na hulka za watu hawa wa ajabu - watu wakiona tunawasema sema sana wanakasirika kuliko maelezo!!
Asante kwa elimu mkuu 🤝🏻🤝🏻🤝🏻🤝🏻
 
Dmitry Medvedev adds, regarding possible Ukrainian attacks on Crimea: "If something like this happens, Judgment Day will happen to all of them"
 
Back
Top Bottom