Vugu-Vugu
JF-Expert Member
- Feb 24, 2017
- 1,381
- 1,600
CHADEMA kumbe mnadharau wakulimaHuu utoto kawaambie wakulima huko vijijini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CHADEMA kumbe mnadharau wakulimaHuu utoto kawaambie wakulima huko vijijini.
CHADOMO NDIO ASILI YAO MKUUHivi haiwezekani wachangiaji mada wakachangia bila matusi na name calling?
Watu wastaarabu huwa wanalumbana kwa nguvu za hoja ma sio hoja za nguvu na matusi.
Ukijadli hoja kwa feelings na sio logic na commonsense basi mwisho inakuwa matusi na kudhalilishana.
Tanzania ni yetu wote.Tupo kwenye mtumbwi mmoja pale kwenye changamoto na makosa tuelezane na kukosoana kwa hekima.
Napata tabu kuchangia mada ambazo mwisho wake ni matusi.
Tusiwe kama wapenzi wajinga wa Simba na Yanga.
Nobody is perfect.No society is perfect.Hakuna Nchi ambayo ni Utopia kama kitabu cha mwandishi Sir Thomas More kilivyojaribu kueleza kuhusu society ambayo ni Utopia.
Hivi hujui kinachoendelea wanaowafundisha ugaidi wanasema huo sio ugaidi ..AIBU YA NINI MKUU?
Wewe Babati gani?Achana na huyu mpuuzi
Ila ni nini?Hivi hujui kinachoendelea wanaowafundisha ugaidi wanasema huo sio ugaidi ..
Wajifunze kutokuwa tegemezi kwa kila kitu. Hali ya haki za binadamu na demokrasia Rwanda ni mbaya; hatusikii wakimkoromea Kagame.Hapo siyo CDM nadhani ni masharti ya misaada tunayochukua kwao!
Ya dingi akoWewe Babati gani?
Kumbe huna akili tu aiseYa dingi ako
Ndiyo dada anguKumbe huna akili tu aise
Acha ushamba, We The free stateTukubali tu hakuna jinsi ya kukataa mapendekezo yao maana tunatembeza bakuli kilasiku na hayo ndio madharayake.
Tanzania ni nchi huru tena Uhuru wake ni wa miaka sitini (60) sasa
Tanzania kama zilivyo nchi nyingine za EU inayo sheria,kanuni na taratibu za kuongoza watu wake ili waishi na kujiletea maendeleo yao kwa amani na Utulivu
Freeman Mbowe na wenzake wanatuhumiwa kutenda kosa la Ugaidi na kesi inaendelea Mahakamani tena mfululizo hili dunia inajua
Utawala wa Sheria duniani kote ikiwemo EU unatamka kuwa "Hakuna aliyejuu ya Sheria " No one is above the law,
Je! Can't it be applied to Mr Freeman Aikaeli Mbowe?
CHADEMA mnataka kusema Freeman Mbowe kwa kuwa ni Mkt wa Chama chenu hawezi kutenda kosa?
CHADEMA na EU mnataka kusema Freeman Mbowe ni malaika wa nuru asiyeshawishika wala kutenda kosa?
Tunafahamu bifu kubwa lilokuwepo baina ya aliyekuwa Mbunge wa Hai Freeman Mbowe na aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya
Miamba hii miwili ya kisiasa ilikuwa ikipimana nguvu pale Wilaya ya Hai kwa njia halali na zisizo halali,Hili wote tunalijua na CHADEMA mnalijua zaidi
Tukubaliane kuwa njia alizotumia Freeman Mbowe kutaka kumdhibiti Lengai Ole Sabaya ziliwafanya Mbowe na Sabaya kuvunja Sheria za nchi na wanaoweza ku-approve au ku-disapprove hili ni mahakama pekee kama chombo cha juu kabisa cha kutoa haki na wala sio Rais Samia
Kitendo Cha CHADEMA kuanza kuisiliba nchi yao kimataifa licha ya Juhudi kubwa zinazofanywa na Rais wetu Mhe Samia Suluhu Hassan katika kuirejesha nchi kidiplomasia halikubaliki na halitakubalika kamwe
Tujiulize, CHADEMA wanaogopa nini kama kweli Freeman Mbowe hana hatia Mbele ya Sheria?
Sote tunafahamu, CHADEMA ndio Chama chenye Mawakili wengi na nguli wa Sheria hapa Tanzania
Je? wamekwama wapi au nawao wamebaini ni kweli mteja wao anamakosa wanaamua kuigeuzia kesi hii Kisiasa kisa Freeman Mbowe ni mwanasiasa?
Kwanini leo wakimbilie kulichafua Taifa Kimataifa hata kabla ya hukumu yenyewe? Nini kimewasibu kwenye jicho la Sheria?
CHADEMA acheni kulichafua Taifa letu Kimataifa,mlisingizia Magufuli Leo tena Samia lazima mtambue Sisi hatuna nchi nyingine zaidi ya hii
Mnatuumiza sana sisi watu wa chini
Sisi hatuna uwezo wa kuishi huko Ughaibuni Ubelgiji,Canada wala Scotland kama ninyi na familia zenu
Mnanenepa na kung'aa kuwazidi hata Wazungu kwa gharama za nchi yenu hakika hii ni mbaya sana brothers
Hiyo misaada mnayotaka tunyimwe na EU ndio inawafanya watoto wa Shangazi zenu wajengewe madarasa elfu 15 na Rais Samia Suluhu
Plze Brothers & Sisters STOP IT
WAAMBIENI "EU" TUTASIMAMIA SHERIA ZETU KWA GHARAMA YEYOTE,TAIFA HILI NI KUBWA KULIKO MISAADA YA EU,.
Pia, soma=> Bunge la Ulaya(EU) lajadili hali ya kisiasa Tanzania na kukamatwa kwa Freeman Mbowe
View attachment 2030228
View attachment 2030229
Am telling you kwa Ujinga huu hamfiki mbali nyie jamaa,
Kweli Tanzania ya Samia hakuna demokeasia? Serious!!!!??
Kama chadema imekufa, tutengeneze katiba mpya, halaf iundwe tume huru na ya haki. Tuone chama gani kimekufaCHADEMA hamjawahi kuwa na Uchungu kwa Taifa lenu hata maramoja,
Ndio maana lichama linakufa kibudu,
Kumbe ndo waliomtuma kuifanya nchi isitawalike!!!!aisee.
Free state?!!free state inayo omba omba misaada hat ya kujenga vyoo!!
Hakuna Cha kesi pale,
Watawala wa ccm,wanaogopa mabadiriko yoyote yatakayo wapunguzia ulqji,wizi,na hata kuwatoa Madarakani,kila anaye hatarisha maslahi yao lazima apigwe rungu la kichwa anyamazishwe,Ili tabaka tawala,ndugu zao,marafiki,waendelee kula nchi watakavyo.
Na kwa sasa hv,Mbowe "is the thorn",in there flesh lazima wa mminye asipige kelele,
Sikubaliani na hoja yako labda utoe mifano hai.
Kama kuna kiongozi mwanasiasa KATILI nchi hii ni Freeman Mbowe, kwa kauli na matendo yake, kiasi amewaambukiza viongozi wanasiasa wa CHADEMA. Hiki chama kikipata kuongoza nchi hii, hakuna shaka kutakuwa na utawala wa kidikteta.
Ushahidi ni tangu kimeanzishwa kimekuwa kwenye mlengo wa kujali maslahi ya wao viongozi. Dai lao kubwa la Katiba mpya nyuma yake ni Katiba ya kuwawezesha kupata madaraka ya Dola kwa ajili ya agenda zao binafsi.
Mwenye hoja tofauti na hii yangu, atoe japo jambo moja tu la Kitaifa, ambalo Viongozi wa CHADEMA wamefanya tangu kianzishwe ama kwenye Kata (madiwani), Majimbo (Wabunge) au Halmashauri walizoziongoza.