EU kutaka kesi ya Freeman Mbowe ifutwe hawajui kuwa Tanzania is a free State?

EU kutaka kesi ya Freeman Mbowe ifutwe hawajui kuwa Tanzania is a free State?

Kipi kimepungua kwa dhati ya moyo wako

Ni vizuri hata umeuliza lakini sioni kama umesoma hata sentensi ya mwisho “civic space imepungua”.

Ukweli ni huu, unadhani ni CCM tu ndio wenye nia nzuri (mpaka sasa nchi hii ina maovu mengi na Chadema hakuwahi kutawala). Na sio Chadema wenye mabaya tu!! Lakini cha ajabu hapa ni kuwa wema unahusishwa na CCM na ubaya unahusishwa na Chadema. Watu wengi sio CCM wala Chadema!! Ndio maana nikuzuia usitumie “sisi” kwa sababu hiyo unatufanya sote kuwa CCM au unafanya wengine wote kuwa Chadema.

Civic space ya wale wasiokuwa CCM moja kwa moja inachukuliwa ni ya Chadema na hivo lazima ubinywe. Swala la Mbowe na EU ni swala moja, je Chadema kutaka kufanya mikutano ikazuiliwa kwa pretext ya “usalama” au “magonjwa ya kuambukiza” - ni sawa? Wakati huo huo CCM viongozi wa juu wakifanya ziara!! Wao madhila hayo hayawapati?? Najua utasema ni Polisi na sio CCM wanazuia wapinzani kufanya shughuli zao - mimi nasema CCM ni beneficiary wa matendo ya Polisi.
 
Ni vizuri hata umeuliza lakini sioni kama umesoma hata sentensi ya mwisho “civic space imepungua”.

Ukweli ni huu, unadhani ni CCM tu ndio wenye nia nzuri (mpaka sasa nchi hii ina maovu mengi na Chadema hakuwahi kutawala). Na sio Chadema wenye mabaya tu!! Lakini cha ajabu hapa ni kuwa wema unahusishwa na CCM na ubaya unahusishwa na Chadema. Watu wengi sio CCM wala Chadema!! Ndio maana nikuzuia usitumie “sisi” kwa sababu hiyo unatufanya sote kuwa CCM au unafanya wengine wote kuwa Chadema.

Civic space ya wale wasiokuwa CCM moja kwa moja inachukuliwa ni ya Chadema na hivo lazima ubinywe. Swala la Mbowe na EU ni swala moja, je Chadema kutaka kufanya mikutano ikazuiliwa kwa pretext ya “usalama” au “magonjwa ya kuambukiza” - ni sawa? Wakati huo huo CCM viongozi wa juu wakifanya ziara!! Wao madhila hayo hayawapati?? Najua utasema ni Polisi na sio CCM wanazuia wapinzani kufanya shughuli zao - mimi nasema CCM ni beneficiary wa matendo ya Polisi.
CCM-Tanzania Sio Polisi-Tanzani, Na Polisi -Tanzania Sio CCM-Tanzania
 
Mbona CHADEMA Digital inafeli kuna nini?
MBONA na ccm inafeli pakubwa kwani kuna nini?mafisadi ccm wala rushwa ccm
makashfa yote ya nchi hii ccm
Maji na umeme vipi baada ya miaka 60 ya uhuru
katiba mpya inawatesa na mavi yanawabana kuna ni??
 
CHADEMA hamjawahi kuwa na Uchungu kwa Taifa lenu hata maramoja,

Ndio maana lichama linakufa kibudu,
Hao wenye uchungu wako wapi?.Au maujinga yote yaliyopo wewe ni kipofu hauoni.We endelea kusifia maana kamfereji kanamwagilia maji upande wako ila kumbuka iko siku katakata.
 
Kama umesikiliza amesisitiza utawala wa Sheria, kwamba wawakilishi wao waliohudhuria mahakamani wamegundua mashtaka dhidi ya Mbowe hayana Legal basis!

Msitumie kichaka cha utawala wa Sheria kutesa watu,niambie Leo hata wewe unaweza kupewa kesi isiyodhaminika,ukateseka wee halafu mwisho wa siku wanasema hawana Nia ya kuendelea na kesi!Shwain
Kaikilize tena mwenyewe usitumie maoni ya Lissu
 


Tanzania ni nchi huru tena Uhuru wake ni wa miaka sitini (60) sasa

Tanzania kama zilivyo nchi nyingine za EU inayo sheria,kanuni na taratibu za kuongoza watu wake ili waishi na kujiletea maendeleo yao kwa amani na Utulivu

Freeman Mbowe na wenzake wanatuhumiwa kutenda kosa la Ugaidi na kesi inaendelea Mahakamani tena mfululizo hili dunia inajua

Utawala wa Sheria duniani kote ikiwemo EU unatamka kuwa "Hakuna aliyejuu ya Sheria " No one is above the law,

Je! Can't it be applied to Mr Freeman Aikaeli Mbowe?

CHADEMA mnataka kusema Freeman Mbowe kwa kuwa ni Mkt wa Chama chenu hawezi kutenda kosa?

CHADEMA na EU mnataka kusema Freeman Mbowe ni malaika wa nuru asiyeshawishika wala kutenda kosa?

Tunafahamu bifu kubwa lilokuwepo baina ya aliyekuwa Mbunge wa Hai Freeman Mbowe na aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya

Miamba hii miwili ya kisiasa ilikuwa ikipimana nguvu pale Wilaya ya Hai kwa njia halali na zisizo halali,Hili wote tunalijua na CHADEMA mnalijua zaidi

Tukubaliane kuwa njia alizotumia Freeman Mbowe kutaka kumdhibiti Lengai Ole Sabaya ziliwafanya Mbowe na Sabaya kuvunja Sheria za nchi na wanaoweza ku-approve au ku-disapprove hili ni mahakama pekee kama chombo cha juu kabisa cha kutoa haki na wala sio Rais Samia

Kitendo Cha CHADEMA kuanza kuisiliba nchi yao kimataifa licha ya Juhudi kubwa zinazofanywa na Rais wetu Mhe Samia Suluhu Hassan katika kuirejesha nchi kidiplomasia halikubaliki na halitakubalika kamwe

Tujiulize, CHADEMA wanaogopa nini kama kweli Freeman Mbowe hana hatia Mbele ya Sheria?

Sote tunafahamu, CHADEMA ndio Chama chenye Mawakili wengi na nguli wa Sheria hapa Tanzania

Je? wamekwama wapi au nawao wamebaini ni kweli mteja wao anamakosa wanaamua kuigeuzia kesi hii Kisiasa kisa Freeman Mbowe ni mwanasiasa?

Kwanini leo wakimbilie kulichafua Taifa Kimataifa hata kabla ya hukumu yenyewe? Nini kimewasibu kwenye jicho la Sheria?

CHADEMA acheni kulichafua Taifa letu Kimataifa,mlisingizia Magufuli Leo tena Samia lazima mtambue Sisi hatuna nchi nyingine zaidi ya hii

Mnatuumiza sana sisi watu wa chini

Sisi hatuna uwezo wa kuishi huko Ughaibuni Ubelgiji,Canada wala Scotland kama ninyi na familia zenu

Mnanenepa na kung'aa kuwazidi hata Wazungu kwa gharama za nchi yenu hakika hii ni mbaya sana brothers

Hiyo misaada mnayotaka tunyimwe na EU ndio inawafanya watoto wa Shangazi zenu wajengewe madarasa elfu 15 na Rais Samia Suluhu

Plze Brothers & Sisters STOP IT

WAAMBIENI "EU" TUTASIMAMIA SHERIA ZETU KWA GHARAMA YEYOTE,TAIFA HILI NI KUBWA KULIKO MISAADA YA EU,.

Pia, soma=> Bunge la Ulaya(EU) lajadili hali ya kisiasa Tanzania na kukamatwa kwa Freeman Mbowe



View attachment 2030228

View attachment 2030229

Dictator CCM anaanza kuonekana rangi zake .... Kudos EU ....!!
 
free state your sore a55, ndiyo wanaowalisheni hao,

panua paja sasa mti wajaaa
 
CHADEMA hamjawahi kuwa na Uchungu kwa Taifa lenu hata maramoja,

Ndio maana lichama linakufa kibudu,
Huu uchungu wako wa kinafiki umesaidia nini nchi hii. Mnabambika kesi wapinzani ndo mnaonesha uchungu au uchu?
 
Katika kitu ambacho mabeberu hawajali ni demokrasia katika nchi za Africa. Ukitaka nchi ipigwe pini na mabeberu labda iingilie maslahi yao ya kiuchumi au izuie ushoga. Ila hayo ya demokrasia ni propaganda tu kwao.
fact
 


Tanzania ni nchi huru tena Uhuru wake ni wa miaka sitini (60) sasa

Tanzania kama zilivyo nchi nyingine za EU inayo sheria,kanuni na taratibu za kuongoza watu wake ili waishi na kujiletea maendeleo yao kwa amani na Utulivu

Freeman Mbowe na wenzake wanatuhumiwa kutenda kosa la Ugaidi na kesi inaendelea Mahakamani tena mfululizo hili dunia inajua

Utawala wa Sheria duniani kote ikiwemo EU unatamka kuwa "Hakuna aliyejuu ya Sheria " No one is above the law,

Je! Can't it be applied to Mr Freeman Aikaeli Mbowe?

CHADEMA mnataka kusema Freeman Mbowe kwa kuwa ni Mkt wa Chama chenu hawezi kutenda kosa?

CHADEMA na EU mnataka kusema Freeman Mbowe ni malaika wa nuru asiyeshawishika wala kutenda kosa?

Tunafahamu bifu kubwa lilokuwepo baina ya aliyekuwa Mbunge wa Hai Freeman Mbowe na aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya

Miamba hii miwili ya kisiasa ilikuwa ikipimana nguvu pale Wilaya ya Hai kwa njia halali na zisizo halali,Hili wote tunalijua na CHADEMA mnalijua zaidi

Tukubaliane kuwa njia alizotumia Freeman Mbowe kutaka kumdhibiti Lengai Ole Sabaya ziliwafanya Mbowe na Sabaya kuvunja Sheria za nchi na wanaoweza ku-approve au ku-disapprove hili ni mahakama pekee kama chombo cha juu kabisa cha kutoa haki na wala sio Rais Samia

Kitendo Cha CHADEMA kuanza kuisiliba nchi yao kimataifa licha ya Juhudi kubwa zinazofanywa na Rais wetu Mhe Samia Suluhu Hassan katika kuirejesha nchi kidiplomasia halikubaliki na halitakubalika kamwe

Tujiulize, CHADEMA wanaogopa nini kama kweli Freeman Mbowe hana hatia Mbele ya Sheria?

Sote tunafahamu, CHADEMA ndio Chama chenye Mawakili wengi na nguli wa Sheria hapa Tanzania

Je? wamekwama wapi au nawao wamebaini ni kweli mteja wao anamakosa wanaamua kuigeuzia kesi hii Kisiasa kisa Freeman Mbowe ni mwanasiasa?

Kwanini leo wakimbilie kulichafua Taifa Kimataifa hata kabla ya hukumu yenyewe? Nini kimewasibu kwenye jicho la Sheria?

CHADEMA acheni kulichafua Taifa letu Kimataifa,mlisingizia Magufuli Leo tena Samia lazima mtambue Sisi hatuna nchi nyingine zaidi ya hii

Mnatuumiza sana sisi watu wa chini

Sisi hatuna uwezo wa kuishi huko Ughaibuni Ubelgiji,Canada wala Scotland kama ninyi na familia zenu

Mnanenepa na kung'aa kuwazidi hata Wazungu kwa gharama za nchi yenu hakika hii ni mbaya sana brothers

Hiyo misaada mnayotaka tunyimwe na EU ndio inawafanya watoto wa Shangazi zenu wajengewe madarasa elfu 15 na Rais Samia Suluhu

Plze Brothers & Sisters STOP IT

WAAMBIENI "EU" TUTASIMAMIA SHERIA ZETU KWA GHARAMA YEYOTE,TAIFA HILI NI KUBWA KULIKO MISAADA YA EU,.

Pia, soma=> Bunge la Ulaya(EU) lajadili hali ya kisiasa Tanzania na kukamatwa kwa Freeman Mbowe



View attachment 2030228

View attachment 2030229



Nawashauri tu kwa manufaa ya taifa. Wekeni tume huru na wafungwa wote wa kisiasa waachiwe na mikutano ya kisiasa iwe ruksa. Bila hivi legacy ya Rais Samia haita heshimiwa hata kidogo. Lakini mtapata matatizo mengi na kuzuia uwekezaji pasipo lazima. Ni bora Chama kiwakilishe ukweli ili mjue mlipo kuliko kuwa fake na 100% ya wabunge ambao wengine hawapendwi. Watanzania hawapendi kufanywa wajinga au kulazimishwa
 
Nawashauri tu kwa manufaa ya taifa. Wekeni tume huru na wafungwa wote wa kisiasa waachiwe na mikutano ya kisiasa iwe ruksa. Bila hivi legacy ya Rais Samia haita heshimiwa hata kidogo. Lakini mtapata matatizo mengi na kuzuia uwekezaji pasipo lazima. Ni bora Chama kiwakilishe ukweli ili mjue mlipo kuliko kuwa fake na 100% ya wabunge ambao wengine hawapendwi. Watanzania hawapendi kufanywa wajinga au kulazimishwa
Wafungwa gani wakisiasa wako jela?
 
Kuwa free state haina maana kwamba unaweza kuwatesa na kuwafanyia raia wako jinsi unavyojisikia tu na wengine wakabaki wanakutizama tu bila kufanya chochote.

Human rights are universal.
 
Back
Top Bottom